< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
to/for to conduct to/for son: descendant/people Korah melody to hear: hear this all [the] people to listen all to dwell lifetime/world
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
also son: descendant/people man also son: descendant/people man unitedness rich and needy
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
lip my to speak: speak wisdom and meditation heart my understanding
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
to stretch to/for proverb ear my to open in/on/with lyre riddle my
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
to/for what? to fear in/on/with day bad: evil iniquity: crime heel my to turn: surround me
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
[the] to trust upon strength: rich their and in/on/with abundance riches their to boast: boast
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
brother: compatriot not to ransom to ransom man: anyone not to give: give to/for God ransom his
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
and be precious redemption soul their and to cease to/for forever: enduring
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
and to live still to/for perpetuity not to see: see [the] Pit: hell (questioned)
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
for to see: see wise to die unitedness fool and stupid to perish and to leave: forsake to/for another strength: rich their
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
entrails: inner parts their house: home their to/for forever: enduring tabernacle their to/for generation and generation to call: call by in/on/with name their upon land: soil
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
and man in/on/with preciousness not to lodge to liken like/as animal to cease
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
this way: conduct their loin to/for them and after them in/on/with lip: word their to accept (Selah)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
like/as flock to/for hell: Sheol to appoint death to pasture them and to rule in/on/with them upright to/for morning (and rock their *Q(K)*) to/for to become old hell: Sheol from elevation to/for him (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
surely God to ransom soul my from hand: power hell: Sheol for to take: recieve me (Selah) (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
not to fear for to enrich man: anyone for to multiply glory house: home his
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
for not in/on/with death his to take: take [the] all not to go down after him glory his
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
for soul his in/on/with life his to bless and to give thanks you for be good to/for you
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
to come (in): come till generation father his till perpetuity not to see: see light
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
man in/on/with preciousness and not to understand to liken like/as animal to cease

< Zaburi 49 >