< Zaburi 49 >
1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
To the choirmaster - of [the] sons of Korah a psalm. Hear this O all the peoples give ear O all [the] inhabitants of [the] world.
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Both [the] children of humankind as well as [the] children of man alike [the] rich and [the] needy.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Mouth my it will speak wisdom and [the] meditation of heart my [will be] understanding.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
I will incline to a proverb ear my I will open with a harp riddle my.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Why? will I fear in days of trouble [the] iniquity of heels my it surrounds me.
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Those relying on wealth their and in [the] greatness of rich[es] their they boast.
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
A brother not certainly he will ransom anyone not he will give to God ransom his.
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
So it may be costly [the] ransom of life their and he will cease for ever.
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
So he may live still to perpetuity not he will see the pit.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
For anyone will see - wise [people] they die alike a fool and a stupid [person] they perish and they leave to other [people] wealth their.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Inner being their houses their - for ever dwelling places their to a generation and a generation they called with names their on lands.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
And humankind in honor not he remains he is like like the animals [which] they are destroyed.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
This [is] way their stupidity [belongs] to them and after them - in mouth their they take delight (Selah)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
Like sheep - for Sheol they have been appointed death it will shepherd them and they ruled over them upright [people] - to the morning (and form their *Q(K)*) [is] for [the] consuming of Sheol from lofty abode of him. (Sheol )
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
Surely God he will redeem life my from [the] hand of Sheol for he will take me (Selah) (Sheol )
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
May not you fear if he will become rich anyone if it will increase [the] honor of house his.
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
For not in death his he will take anything not it will go down after him honor his.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
For self his in life his he blessed and people praise you if you will do well to yourself.
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
It will go to [the] generation of ancestors his until perpetuity not they will see light.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Humankind with honor and not he understands he is like like the animals [which] they are destroyed.