< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
可拉後裔的詩,交與伶長。 萬民哪,你們都當聽這話! 世上一切的居民,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
無論上流下流,富足貧窮, 都當留心聽!
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
我口要說智慧的言語; 我心要想通達的道理。
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
我要側耳聽比喻, 用琴解謎語。
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
在患難的日子,奸惡隨我腳跟,四面環繞我, 我何必懼怕?
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
那些倚仗財貨自誇錢財多的人,
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
一個也無法贖自己的弟兄, 也不能替他將贖價給上帝,
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
叫他長遠活着,不見朽壞; 因為贖他生命的價值極貴, 只可永遠罷休。
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
他必見智慧人死, 又見愚頑人和畜類人一同滅亡, 將他們的財貨留給別人。
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
他們心裏思想: 他們的家室必永存, 住宅必留到萬代; 他們以自己的名稱自己的地。
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
但人居尊貴中不能長久, 如同死亡的畜類一樣。
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
他們行的這道本為自己的愚昧; 但他們以後的人還佩服他們的話語。 (細拉)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
他們如同羊群派定下陰間; 死亡必作他們的牧者。 到了早晨,正直人必管轄他們; 他們的美容必被陰間所滅,以致無處可存。 (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
只是上帝必救贖我的靈魂脫離陰間的權柄, 因他必收納我。 (細拉) (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
見人發財、家室增榮的時候, 你不要懼怕;
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
因為,他死的時候甚麼也不能帶去; 他的榮耀不能隨他下去。
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
他活着的時候,雖然自誇為有福 (你若利己,人必誇獎你);
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
他仍必歸到他歷代的祖宗那裏, 永不見光。
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
人在尊貴中而不醒悟, 就如死亡的畜類一樣。

< Zaburi 49 >