< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
科辣黑後裔歌,用高音,交與樂官。 關於這事,請萬民都要靜聽,普世居民,請你們側耳細聽,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
不論貧富無分縉紳百姓,請你們都一一側耳聆聽。
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
我的口要宣講智慧,我的心要思念哲理。
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
我要側耳恭聽諺語,我要鼓琴解釋隱語。
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
當陷害我者的毒謀圍我時,在我困厄的日期,我有何所懼?
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
因為他們只知依恃財產的富足,他們只會誇耀自己金錢的豐裕;
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
但是金錢不能使任何人得救,決不能把人的贖債還給天主,
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
因為人命的贖債非常昂貴,任何金錢也決不足以贖回,
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
不能使人生存久長,不能使人不見死亡。
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
你看,智者死去,愚昧者也同樣沉淪,他們都將自己的財產遺留給別人。
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
他們雖然曾以自己的名號,給一些地方命名,但是他們永久的住宅,萬代的居所卻是墳塋。
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
人在富貴中絕不能久長,將與牲畜無異,同樣死亡。
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
這就是自滿昏愚者的終途,這就是自誇幸運者的末路。
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
他們就如羊群一般被人趕入深坑,死亡要牧放他們,義人要主宰他們。他們的容貌即刻色衰,陰間將是他們的住宅。 (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
但是天主必救我靈脫離陰府,因為祂要把我接走。 (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
不要嫉妒他人變成富翁,不要忌恨他人家產倍增;
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
因為他死時什麼也不能帶走,他的財產也不能隨著他同去。
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
他在生時雖我陶醉說:「只要你幸福,人必誇讚你。」
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
他終要回去和他的祖先相逢,永永遠遠他再不能看到光明。
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
人在富貴中,不深思遠慮,將與牲畜無異,都要死去

< Zaburi 49 >