< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
JINGOG este todo jamyo ni y taotao; ecungog jamyo todos ni y mañasaga. gui tano:
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Jamyo todo mandaña, y managpapa, y managquilo, y manrico, yan y mamoble.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Y pachotto usangan y minalate; ya y jinason y corasonjo y tiningo.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Bae juecungog y parabola; ya jubaba y jemjom sinanganjo gui atpa.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Sajafa na maañaoyo gui jaanen y tinaelaye, anae y tinaelayen y dedegoco jaoriyayayeyo?
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Ayo y umangongoco sija ni y güinajañija, yan jatunanmaesaja ni y minegae y riniconñija;
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Taya guiya sija siña umapasiye y cheluña, ni unae si Yuus ni y rumescata güe;
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
(Sa y ninálibre y antinñija, dangculo presiuña, ya para upolu para siempre.)
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Para ulâlâ asta y taejinecog, ya ti ulie minitong.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Sa jalie na y manmalate na taotao sija manmamataeja, y manaejinaso yan y manbababa, manmalingo, ya japolo y güinajañija para y palo.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Y jinason y sumanjalomñija, na y guimañija usaga para taejinecog, ya y anae mañasaga na lugat para y todo generasion sija; ya jafanaan y tanoñija, ni y naanñijaja.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Lao y taotao ti sumaga gui onraña, parejoja yan y gâgâ na matae.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Este y jinanaoñiñija, y binabanñiñijaja; ya anae esta manmapos, manmagof y taotao nu y sinanganñija. (Sila)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Sija ufanquinano gui naftan parejoja yan y manadan quinilo y finatae upinasto sija; ya y manunas mangaeninasiña gui jiloñija gui egaan; ya y boninituñija, para ulachae gui jalom naftan, sa taya sagaña. (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Lao si Yuus unalibre y antijo gui ninasiñan y naftan; sa uresibeyo. (Sila) (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Chamo maaañao, yanguin guaja taotao urico; yanguin y güinaja, y guimaña mumémegae;
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Sa yanguin matae, taya uchule; y güinajaña, ti udinalalaggüe.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Achogaja anae lalâlâ, dichoso y antiña; sa matutunajao ni y taotao sija, yanguin unfamauleg mamaesajao.
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Ujanao para y generasion tataña; ti ufanmanlie manana.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Y taotao ni y maoonra, ya ti matungo; parejoja yan y gâgâ ni y umatae.

< Zaburi 49 >