< Zaburi 48 >

1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
Cântico e salmo, dos filhos de Coré: O SENHOR [é] grande e muito louvável, na cidade de nosso Deus, [no] monte de sua santidade.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Belo de se ver e alegria de toda a terra [é] o monte de Sião, nas terras do norte; a cidade do grande Rei.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
Deus [está] em seus palácios, [e] é conhecido como alto refúgio.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Porque eis que os reis se reuniram; eles juntamente passaram
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
Eles, [quando] a viram, ficaram maravilhados; assombraram-se, fugiram apressadamente.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Ali o temor os tomou, [e sentiram] dores como as de parto.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
Com o vento do oriente tu quebras os navios de Társis.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Assim como nós ouvimos, também vimos na cidade do SENHOR dos exércitos, na cidade do nosso Deus; Deus a firmará para sempre. (Selá)
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Deus, nós reconhecemos tua bondade no meio de teu templo.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
Conforme o teu nome, ó Deus, assim é o louvor a ti, até os confins da terra; tua mão direita está cheia de justiça.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
Alegre-se o monte de Sião, fiquem contentes as filhas de Judá, por causa de teus juízos.
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Andai ao redor de Sião, e a circundai; contai suas torres.
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Ponde vosso coração em seus muros de defesa, prestai atenção em seus palácios, para que conteis deles à geração seguinte.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
Porque este Deus [é] nosso Deus para todo o sempre; ele nos acompanhará até a morte.

< Zaburi 48 >