< Zaburi 48 >
1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
Pieśń psalmu synów Korego. Wielki jest Pan, i bardzo chwalebny w mieście Boga naszego, na górze świętej swojej.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Ozdobą krainy, uciechą wszystkiej ziemi jest góra Syon w stronach północnych, miasto króla wielkiego.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
Bóg w pałacach jego uznany jest za twierdzę wysoką.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Bo oto królowie, gdy się zgromadzili i ciągnęli wespół,
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
Sami to ujrzawszy bardzo się zadziwili, a przestraszeni będąc prędko uciekali.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Strach ich tam ogarnął i boleść, jako niewiastę rodzącą.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
Wiatrem wschodnim pokruszysz okręty z Tarsys.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Jakośmy słyszeli, takeśmy widzieli w mieście Pana zastępów, w mieście Boga naszego; Bóg je ugruntował aż na wieki. (Sela)
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Uważamy, o Boże! miłosierdzie twoje w pośród kościoła twego.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
Jakie jest imię twoje, Boże! taka też jest chwała twoja aż do kończyn ziemi; sprawiedliwości pełna jest prawica twoja.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
NIech się rozweseli góra Syon: niech się rozradują córki Judzkie dla sądów twoich, Boże!
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Otoczcie Syon, i obstąpcie go; policzcie wieże jego.
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Przypatrujcie się pilnie basztom jego, a oglądajcie pałace jego, abyście umieli powiadać narodowi potomnemu.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
Że ten Bóg jest Bogiem naszym na wieki wieczne, a iż on naszym hetmanem będzie aż do śmierci.