< Zaburi 48 >

1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
Jabahinake t’Iehovà, vaho rengeñe mb’añ’abo; an-drovan’ Añaharen-tikañe, i vohi’e miavakey.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Fanjàka an-toe’e eo, ty hafalea’ ty tane toy, ty vohi’ i Tsiône añ’ila’e avaratse ey, ty rova’ i Mpanjaka hinakinakey.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
I Andrianañahare an-kijoli’ey, ty nampandrèndreke t’ie ro fipalirañe.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Hehe, nifanontoñe o mpanjakao, nitrao-pionjoñe mb’etoañe,
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
Nioni’ iereo; le nilatsa; nange­traketrake, vaho nitriban-day.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Namihiñe iareo ty fihondrahondra, ninivonivotse hoe ampela mitsongo.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
I tiok’ atiñanañey ty ampivaletrahe’o o lakam-bein-Tarsiseo.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Hambañe amy jinanjin-tikañey ty nionin-tika an-drova’ Iehovà’ i Màroy, an-drovan’ Añaharentikañe ao; ee t’ie hajadon’ Añahare tsy ho modo nainai’ey. Selà
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Nitsakorea’ay ty fiferenaiña’o ry Andrianañahare añivo’ i anjomba’o miavakey.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
Manahake i tahina’oy ry Andrianañahare, ty fandrengeañe Azo, pak’ añ’olo’ ty tane toy; lifo-kavantañañe ty fità’o havana.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
Ampifaleo i vohitse Tsiôney, ampirebeho o anak’ ampela’ Iehodào ty amo fizakà’oo.
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Mañariaria amy Tsiône, ikariokarioho, volilio o fitilik-abo’eo,
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Hehe o kijoli’eo, rangao o fitalakesañ’abo’eo; hahatalilia’o i tariratse mandimbey.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
Izay t’i Andrianañahare, Andrianañaharen-tikañey, nainai’e donia. Ie ty hiaolo antikañe pak’an-kavilasy.

< Zaburi 48 >