< Zaburi 48 >
1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
Nyanyian. Mazmur bani Korah. Besarlah TUHAN dan sangat terpuji di kota Allah kita!
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Gunung-Nya yang kudus, yang menjulang permai, adalah kegirangan bagi seluruh bumi; gunung Sion itu, jauh di sebelah utara, kota Raja Besar.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
Dalam puri-purinya Allah memperkenalkan diri-Nya sebagai benteng.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Sebab lihat, raja-raja datang berkumpul, mereka bersama-sama berjalan maju;
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
demi mereka melihatnya, mereka tercengang-cengang, terkejut, lalu lari kebingungan.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Kegentaran menimpa mereka di sana; mereka kesakitan seperti perempuan yang hendak melahirkan.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
Dengan angin timur Engkau memecahkan kapal-kapal Tarsis.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Seperti yang telah kita dengar, demikianlah juga kita lihat, di kota TUHAN semesta alam, di kota Allah kita; Allah menegakkannya untuk selama-lamanya. (Sela)
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Kami mengingat, ya Allah, kasih setia-Mu di dalam bait-Mu.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
Seperti nama-Mu, ya Allah, demikianlah kemasyhuran-Mu sampai ke ujung bumi; tangan kanan-Mu penuh dengan keadilan.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
Biarlah gunung Sion bersukacita; biarlah anak-anak perempuan Yehuda bersorak-sorak oleh karena penghukuman-Mu!
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Kelilingilah Sion dan edarilah dia, hitunglah menaranya,
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
perhatikanlah temboknya, jalanilah puri-purinya, supaya kamu dapat menceriterakannya kepada angkatan yang kemudian:
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
Sesungguhnya inilah Allah, Allah kitalah Dia seterusnya dan untuk selamanya! Dialah yang memimpin kita!