< Zaburi 48 >

1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
En Sang, en Psalme af Koras Børn.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Herren er stor og saare priselig, i vor Guds Stad, paa hans hellige Bjerg.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
Zions Bjerg hæver sig smukt, er det ganske Lands Glæde, yderst imod Nord, den store Konges Stad.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Gud i dens Paladser er kendt som en fast Borg.
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
Thi se, Kongerne havde samlet sig; de forsvandt til Hobe.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
De saa, straks forundrede de sig; de forfærdedes, de hastede bort.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
Bævelse betog dem der, Angest som en Kvindes, der føder.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Ved Østenvejr sønderbryder du Tharsis's Skibe.
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Ligesom vi havde hørt, saaledes saa vi det i den Herre Zebaoths Stad, i vor Guds Stad; Gud befæster den indtil evig Tid. (Sela)
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
O Gud! vi tænke paa din Miskundhed midt i dit Tempel.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
O Gud! som dit Navn er, saa er din Pris indtil Jordens Ender; din højre Haand er fuld af Retfærdighed.
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Zions Bjerg glæder sig, Judas Døtre fryde sig for dine Dommes Skyld.
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Gaar omkring Zion, rundt omkring den, tæller dens Taarne!
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
Lægger Mærke til dens Mur, betragter nøje dens Paladser, at I kunne fortælle det for den Slægt, som kommer. Thi her er Gud, vor Gud, evindelig og altid, han skal ledsage os til evige Tider.

< Zaburi 48 >