< Zaburi 48 >

1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
Hina Gode da bagadedafa. Amola Ema baligiliwane nodomu da defea. Ea Moilai Bai Bagade amola Ea sema agolo amogai Ema baligiliwane nodomu da defea.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Gode Ea Goumi amo Saione, da gadodafa amola ida: iwanedafa gala. Hina Bagadedafa Ea Moilai Bai Bagade da osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ilima hahawane hou iaha.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
Gode da Ea gagili sali Moilai Bai Bagade amo ganodini esala. Amola nowa da amo ganodini E gilisili esalea, amo dunu da gaga: su ba: mu. Gode da amo hou olelei dagoi.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Osobo bagade hina bagade dunu da gilisili, Saione Goumi doagala: musa: misi.
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
Be ilia da amo ba: loba, fofogadigili, bagade beda: i. Beda: iba: le, ilia hobea: i dagoi.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Uda da mano lalelegemu gadenesea se nabasu amo defele, amola dusagai bagade hano wayabo bagade ahoanoba, mulu amo ganodini gigiwigisu defele, ilia beda: i bagade amola se nabi dagoi.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Ninia da Gode Ea hamobe amo ninia gega nabi dagoi. Amola wali ninia da ninia Hina Gode Bagadedafa Ea Moilai Bai Bagade amo ganodini Ea hamobe ninia siga ba: i dagoi. E da Ea Moilai Bai Bagade mae fisili gaga: lalumu.
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Gode! Ninia da Dia Debolo Diasu ganodini Dia maedafa fisili asigidafa hou amo dawa: lala.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
Osobo bagade fifi asi gala dunu huluanedafa da Dia hou dawa: Amola amoba: le nodosa. Bai Di da moloidafawane ouligilala.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
Saione esalebe dunu ilia da hahawane ba: mu da defea. Bai Dia da moloidafa fofada: su hamosa. Yuda moilai ganodini amo hahawane hou dialumu da defea.
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Gode Ea fi dunu, dilia! Saione Moilai Bai Bagade sisiga: le ahoa gagagula heda: le gagai diasu amo idima!
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Fa: no fifi mabe ilima olelemusa: , dobea fei amola gagili gagoi amo abodema. Bai dilia da fa: no fifi mabe ilima amane sia: ma: ne,
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
“Goe Gode da ninia Gode. E da eso huluane esalalalumu. E eso huluane mae fisili, nini bisili ouligilalumu.”

< Zaburi 48 >