< Zaburi 47 >
1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
En Psalm, till att föresjunga, Korah barnas. Klapper med händerna, all folk, och fröjdens Gudi med gladsamma röst.
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
Ty Herren, den Aldrahögste, är förskräckelig, en stor Konung på hela jordene.
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
Han skall tvinga folk under oss, och Hedningar under våra fötter.
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
Han utväljer oss till en arfvedel, Jacobs härlighet, den han älskar. (Sela)
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Gud är uppfaren med fröjd, och Herren med klar basun.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Lofsjunger, lofsjunger Gudi; lofsjunger, lofsjunger vårom Konung.
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
Ty Gud är Konung på hela jordene. Lofsjunger honom förnufteliga.
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Gud är Konung öfver Hedningarna. Gud sitter på sinom helga stol.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Förstarne ibland folken äro församlada till ett folk Abrahams Gudi; ty Gud är fast upphöjd, när herrarna på jordene.