< Zaburi 47 >

1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
Načelniku gódbe; med nasledniki Koretovimi, psalm. Vsa ljudstva ploskajte z roko, ukajte Bogu z donečim glasom.
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
Ker Gospod najvišji, čestiti, kralj velik je nad vso zemljo.
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
V hlev goni ljudstva, v naš kraj, in narode v kraj naših nóg.
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
Odbira nam posestvo naše, diko Jakoba, katerega ljubi nad vse.
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Gor gré Bog z veselim glasom, Gospod s trombe bučanjem.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Prepevajte Bogu, prepevajte; prepevajte kralju našemu, prepevajte!
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
Ker vse zemlje kralj je Bog, prepevajte s pesmijo ukovito!
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Bog kraljuje nad narodi; Bog sedí na prestolu svetosti svoje.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Radovoljni se zbirajo iz ljudstev, ljudstvo Boga Abrahamovega, ker Božje so hrambe dežele; silno je vzvišen.

< Zaburi 47 >