< Zaburi 47 >
1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
В конец, о сынех Кореовых, псалом. Вси языцы, восплещите руками, воскликните Богу гласом радования:
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
яко Господь Вышний страшен, Царь велий по всей земли:
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
покори люди нам и языки под ноги наша:
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
избра нам достояния свое, доброту Иаковлю, юже возлюби.
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Взыде Бог в воскликновении, Господь во гласе трубне.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Пойте Богу нашему, пойте: пойте Цареви нашему, пойте.
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
Яко Царь всея земли Бог, пойте разумно.
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Воцарися Бог над языки: Бог седит на престоле святем Своем.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Князи людстии собрашася с Богом Авраамлим: яко Божии державнии земли зело вознесошася.