< Zaburi 47 >

1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
KOMAIL kainok karos lopolop o kapinga Kot ki ngil kaperen!
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
Pwe Ieowa me lapalap kaualap, a meid kalank; i Nanmarki lapalap nin sap akan karos.
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
A kotin kaloedi ong kitail wei kan o aramas akan pan nä atail.
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
A kotin piladang kitail atail soso, lingan en Iakop, me a kotin pok ong. (Sela)
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Kot kotida ngisingis, o Ieowa ki ngil en koronete kelail.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Kauli ong Kot psalm ko! Kaulki psalm ko! Kauli ong atail Nanmarki! Kakaul!
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
Pwe Kot Nanmarki nan sap karos; komail kaul ki psalm ni lolekong.
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Kot Nanmarki en men liki kan; Kot kotikot pon mol a saraui.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Saupeidi en wei kan pokon pena wiala wein Kot en Apraam; pwe pere en mauin nin sappa me sapwilim en Kot. A kotin lapalap melel.

< Zaburi 47 >