< Zaburi 47 >
1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
Mitehafa fitañe, ry hene ondatio; poñafo aman’Añahare ty fiarañanañam-pirebehañe.
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
Mampañeveñe t’Iehovà andindimoneñe ey, ie mpanjaka jabahina’ ty tane toy.
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
Ampiambane’e aman-tika ondatio, ze kilakila ondaty ambanem-pandian-tikañ’ ao.
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
Ie i nijoboñe lova ho antikañey, ty firengea’ Iakobe kokoa’ey. Selà
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Nionjoñe am-pipoñafam-pitreñañe t’i Andrianañahare; ami’ty fivolan’antsiva t’Iehovà.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Takasio t’i Andrianañahare, isabo; takasio i mpanjakan-tikañey, isabo.
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
I Andrianañahare ro mpanjaka’ ty tane toy; mitakasia an-tsabo soa arake.
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Fehen’ Andrianañahare o fifeheañeo; miambesatse am-piambesa’e masiñe eo t’i Andrianañahare.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Mifanontoñe o roandria’ ondatio; ondatin’ Andrianañahare’ i Avrahameo fa an’Andrianañahare o fikalan-defo’ ty tane toio; ie onjoneñ’ an-tiotiotse ey.