< Zaburi 47 >

1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
Přednímu zpěváku z synů Chóre, žalm. Všickni národové plésejte rukama, trubte Bohu s hlasitým prozpěvováním.
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
Nebo Hospodin nejvyšší, hrozný, jest král veliký nade vší zemi.
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
Uvozuje lidi v moc naši, a národy pod nohy naše.
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
Oddělil nám za dědictví naše slávu Jákobovu, kteréhož miloval. (Sélah)
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Vstoupil Bůh s troubením, Hospodin s zvukem trouby.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Žalmy zpívejte Bohu, zpívejte; zpívejte žalmy králi našemu, zpívejte.
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
Nebo král vší země Bůh jest, zpívejte žalmy rozumně.
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Kralujeť Bůh nad národy, Bůh sedí na trůnu svém svatém.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Knížata národů připojili se k lidu Boha Abrahamova; nebo pavézy země Boží jsou, pročež on náramně vyvýšen jest.

< Zaburi 47 >