< Zaburi 46 >
1 Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
Dem Musikmeister, von den Korahiten, im Bass-Stimmsatz, ein Lied. Gott ist uns Zuflucht und Stärke,
2 Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
Darum bangen wir nicht, wenngleich die Erde vergeht, wenn Berge mitten im Meer versinken;
3 hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
mögen tosen, mögen schäumen seine Wogen, mögen beben die Berge von seinem Ungestüm: der HERR der Heerscharen ist mit uns, ein’ feste Burg ist uns der Gott Jakobs! (SELA)
4 Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
Ein Strom ist da: seine Bäche erfreuen die Gottesstadt, das Heiligtum, die Wohnung des Höchsten.
5 Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
Gott ist in ihrer Mitte: sie wird nicht wanken, Gott schützt sie, schon wenn der Morgen tagt.
6 Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
Völker tobten, Königreiche wankten: er ließ seinen Donner dröhnen, da zerfloß die Erde.
7 Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
Der HERR der Heerscharen ist mit uns, ein’ feste Burg ist uns der Gott Jakobs! (SELA)
8 Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
Kommt her und schauet die Taten des HERRN, der Wunderbares wirket auf Erden,
9 Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
der den Kriegen ein Ziel setzt bis ans Ende der Erde, der Bogen zerbricht und Speere zerschlägt, Kriegswagen mit Feuer verbrennt!
10 Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
»Laßt ab und erkennt, daß ich (nur) Gott bin, erhaben unter den Völkern, erhaben auf Erden!«
11 Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah
Der HERR der Heerscharen ist mit uns, ein’ feste Burg ist uns der Gott Jakobs! (SELA)