< Zaburi 46 >

1 Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
Au chef des chantres. Par les fils de Coré. Cantique sur les Alamoth. Dieu est pour nous un abri, une force, un appui dans les tourments, facilement accessible.
2 Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
Aussi ne craindrons-nous rien, dût la terre bouger de sa place, et les montagnes s’abîmer au sein de l’Océan;
3 hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
dussent ses flots gronder et bouillonner, et les montagnes trembler quand il entre en fureur!
4 Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
Le fleuve…! Ses ondes réjouissent la ville de Dieu, demeure sainte du Très-Haut.
5 Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
Dieu réside au milieu d’elle: elle ne sera point ébranlée, Dieu venant à son secours dès le lever de l’aurore.
6 Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
Les peuples s’agitent, les royaumes chancellent; il fait retentir sa voix: la terre se liquéfie!
7 Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
L’Eternel-Cebaot est avec nous, le Dieu de Jacob est une citadelle pour nous. (Sélah)
8 Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
Venez, contemplez les œuvres de l’Eternel, qui a opéré des ruines sur la terre!
9 Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
Il met fin aux guerres jusqu’aux confins du globe, il brise les arcs, met en pièces les lances, et livre au feu les chars des combats.
10 Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
Tenez-vous cois et sachez que moi, je suis Dieu, grand parmi les peuples, grand sur la terre!
11 Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah
L’Eternel-Cebaot est avec nous, le Dieu de Jacob est une citadelle pour nous. (Sélah)

< Zaburi 46 >