< Zaburi 46 >
1 Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
to/for to conduct to/for son: descendant/people Korah upon Alamoth song God to/for us refuge and strength help in/on/with distress to find much
2 Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
upon so not to fear in/on/with to change land: country/planet and in/on/with to shake mountain: mount in/on/with heart sea
3 hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
to roar to aggitate water his to shake mountain: mount in/on/with pride his (Selah)
4 Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
river stream his to rejoice city God holy tabernacle Most High
5 Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
God in/on/with entrails: among her not to shake to help her God to/for to turn morning
6 Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
to roar nation to shake kingdom to give: cry out in/on/with voice his to melt land: country/planet
7 Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
LORD Hosts with us high refuge to/for us God Jacob (Selah)
8 Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
to go: come! to see deed LORD which to set: put horror: destroyed in/on/with land: country/planet
9 Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
to cease battle till end [the] land: country/planet bow to break and to cut spear cart to burn in/on/with fire
10 Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
to slacken and to know for I God to exalt in/on/with nation to exalt in/on/with land: country/planet
11 Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah
LORD Hosts with us high refuge to/for us God Jacob (Selah)