< Zaburi 46 >
1 Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
科辣黑後裔的詩歌,交與樂官,女聲高音。 天主是我們的救助和力量,天主是患難中最易尋到的保障。
2 Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
因此,縱使地動山崩,墮入海心,我們也決不會疑懼橫生;
3 hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
海濤儘管洶湧翻騰,山岳儘管因浪震動:我們同在的是萬軍的天主,雅各伯的天主是我們的保護。
4 Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
河流要使天主的城邑歡樂,即至高者所住的至聖居所,
5 Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
天主定居其中,此城決不動搖;清晨曙光一現,天主即加扶牢。
6 Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
異民儘管擾亂,萬邦儘管騷動,天主一發鳴聲,大地即刻消溶。
7 Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
與我們同在的是萬軍的上主,雅各伯的天主是我們的保護。
8 Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
請你們前來觀看上主的作為,看祂在地上所行的驚人事蹟:
9 Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
祂消滅戰爭直達地極,祂斷弓毀矛,燒甲焚盔。
10 Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
你們要停手!應承認我是天主,是萬民的至尊,是大地的上主。
11 Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah
與我們同在的,是萬軍的上主,雅各伯的天主是我們的保護。