< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
En brudvisa och undervisning, Korah barnas, om rosena, till att föresjunga. Mitt hjerta diktar en skön viso, jag vill sjunga om en Konung; min tunga är en god skrifvares penne.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Du äst den dägeligaste ibland menniskors barn. Täckelige äro dine läppar; derföre välsignar dig Gud evinnerliga.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Bind ditt svärd vid din sido, du hjelte; och pryd dig härliga.
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
Lyckosamliga gånge dig i dinom skrud; drag fram för sanningenes skull, och till att behålla de elända vid rätt; så skall din högra hand bevisa under.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Skarp äro din skott; så att folken för dig skola nederfalla, midt ibland Konungens fiendar.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Gud, din stol blifver alltid och i evighet; dins rikes spira är en rättvis spira.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Du älskar rättfärdigheten, och hatar ogudaktigt väsende; derföre hafver Gud, din Gud, smort dig med glädjenes oljo, mer än dina medbröder.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Dina kläder äro klart myrrham, aloe och kezia; när du i dine sköna härlighet utu de elphenbenspalats utgår.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Uti dinom skrud gå Konungadöttrar. Bruden står på dine högra hand, uti klart kosteligit guld.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Hör dotter, se uppå, och böj dina öron; förgät ditt folk, och dins faders hus;
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Så skall Konungen få lust till dina dägelighet; ty han är din Herre, och du skall tillbedja honom.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Dottren Tyrus skall vara der med skänker; de rike i folkena skola bedja inför dig.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
Konungens dotter är ganska härlig invärtes; hon är klädd i gyldene stycke.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Man förer henne uti stickad kläder in till Konungen; och hennes leksystrar, jungfrurna, som efter henne gå, förer man till dig.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Man förer dem med glädje och gamman, och de gå in i Konungens palats.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Uti dina fäders stad skall du söner få; dem skall du sätta till Förstar i hela verldene.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Jag skall tänka uppå ditt Namn, barn efter barn; derföre skola folken tacka dig alltid och i evighet.

< Zaburi 45 >