< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
Mazmur kaum Korah. Nyanyian kasih. Untuk pemimpin kor. Menurut paduan nada: Bunga bakung. Kata-kata indah meluap dari hatiku, kupersembahkan laguku kepada raja. Laksana pena seorang pujangga mahir, lidahku siap mengucapkan syair.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Engkau yang paling tampan di antara manusia, kata-katamu penuh kebaikan, sebab itu engkau diberkati Allah untuk selama-lamanya.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Ikatkan pedangmu di pinggang, hai raja perkasa, engkau sangat agung dan semarak!
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
Majulah dengan gagah menuju kejayaan memperjuangkan kebenaran dan keadilan yang lembut; dengan kekuatanmu rebutlah kemenangan yang besar!
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Panahmu yang tajam menembus jantung musuhmu, bangsa-bangsa jatuh di depan kakimu.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Allah memberi engkau kuasa untuk memerintah, kuasamu bertahan untuk selama-lamanya; dengan adil engkau memerintah rakyatmu.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Engkau mencintai yang benar dan membenci yang jahat; sebab itu, Allah, Allahmu telah memilih engkau, dan membahagiakan engkau melebihi raja-raja lainnya.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Pakaianmu berbau mur, gaharu dan cendana; pemain musik di istana gading membuat engkau gembira.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Di antara dayang-dayang istana terdapat putri-putri raja. Di kanan takhta berdiri permaisuri dengan perhiasan emas murni.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Hai Putri, dengarlah kata-kataku, lupakanlah bangsa dan kaum kerabatmu.
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Kecantikanmu memikat hati raja, ia tuanmu, tunduklah kepadanya.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Penduduk Tirus membawa persembahan bagimu; orang kaya berusaha mengambil hatimu.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
Putri raja masuk dengan penuh semarak, gaunnya bersulam emas.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Dengan pakaian beraneka warna ia diarak kepada raja, diiringi para perawan, teman-temannya, mereka juga untuk raja.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Mereka bersorak-sorai dengan gembira waktu diantar masuk ke dalam istana raja!
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Engkau, rajaku, akan mendapat banyak putra untuk menduduki takhta nenek moyangmu. Mereka akan kaujadikan penguasa atas seluruh bumi.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Dengan lagu ini kumasyhurkan engkau turun-temurun bangsa-bangsa akan memuji engkau selama-lamanya.

< Zaburi 45 >