< Zaburi 45 >
1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
Pour la fin, pour ceux qui seront changés, aux fils de Coré, pour l’intelligence. Cantique pour le bien-aimé. Mon cœur a produit une bonne parole; c’est moi qui adresse mes ouvrages au roi. Ma langue est une plume d’écrivain qui écrit rapidement.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Vous êtes plus brillant de beauté que les enfants des hommes, la grâce est répandue sur vos lèvres; c’est pourquoi le Seigneur vous a béni pour l’éternité.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Ceignez votre glaive sur votre cuisse, roi très puissant.
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
Dans votre dignité et votre beauté, tendez votre arc, marchez avec succès et régnez Pour la vérité, la douceur et la justice; et votre droite vous conduira admirablement.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Vos flèches sont acérées, des peuples tomberont à vos pieds; elles pénétreront dans les cœurs des ennemis du roi.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Votre trône, ô Dieu, subsistera dans les siècles des siècles; c’est un sceptre d’équité que le sceptre de votre règne.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Vous avez aimé la justice et haï l’iniquité: c’est pour cela que Dieu, votre Dieu, vous a plus excellemment oint d’une huile de joie que ceux qui participent à l’onction avec vous.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
La myrrhe, l’aloès et la cannelle s’exhalent de vos vêtements et de vos maisons d’ivoire; dont vous ont fait présent
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Des filles de rois, pour vous honorer. La reine s’est tenue debout à votre droite, dans un vêtement d’or, couverte de vêtements variés.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Écoutez, ma fille, voyez et inclinez votre oreille: oubliez votre peuple, et la maison de votre père.
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Et le roi sera épris de sa beauté; parce qu’il est le Seigneur votre Dieu, et on l’adorera.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Et les filles de Tyr viendront avec des présents: tous les riches du peuple imploreront votre visage.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
Toute la gloire de la fille du roi est au dedans, avec des franges d’or
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Elle est toute couverte d’ornements variés. Des vierges seront amenées au roi après elle: ses plus proches vous seront présentées.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Elles seront présentées au milieu de l’allégresse et de l’exultation, elles seront conduites dans le temple du roi.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Au lieu de vos pères, des fils vous sont nés: vous les établirez princes sur toute la terre.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Ils se souviendront de votre nom dans toute la suite des générations. C’est pour cela que des peuples vous loueront éternellement, et dans les siècles des siècles.