< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
Morsiamen opetusvirsi kukkasesta Koran lapsilta edelläveisaajalle. Minun sydämeni ajattelee kauniin laulun: minä veisaan kuninkaasta, minun kieleni on jalon kirjoittajan kynä.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Sinä olet kaikkein kaunein ihmisten lasten seassa: armo on vuodatettu sinun huulissas; sentähden siunaa Jumala sinua ijankaikkisesti.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Pane miekkas vyölles, sinä sankari, ja kaunista itses kunniallisesti.
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
Menesty sinun kauneudessas, kiiruhda sinus sanan totuuden, siveyden ja vanhurskauden tähden, niin sinun oikia kätes ihmeellisiä osoittaa.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Terävät ovat sinun nuoles, että kansat lankeevat etees maahan, jotka sydämestänsä kuninkaan viholliset ovat.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Jumala, sinun istuimes pysyy aina ja ijankaikkisesti; sinun valtakuntas valtikka on oikeuden valtikka.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Sinä rakastit vanhurskautta, ja vihasit jumalatointa menoa: sentähden, oi Jumala, on sinun Jumalas voidellut sinua ilo-öljyllä enempi kuin sinun osaveljes.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Kaikki sinun vaattees ovat sula Mirrham, Aloe ja Ketsia. Kuin sinä elephantin luisesta tuvastas lähdet, niin he ilahuttavat sinun.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Sinun kaunistuksessas käyvät kuningasten tyttäret: morsian seisoo oikialla kädelläs sulassa kalliimmassa kullassa.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Kuule, tytär, katso, ja kallista korvas: unohda kansas ja isäs huone,
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Niin kuningas saa halun kauneutees; sillä hän on sinun herras, ja sinun pitää häntä kumartaman.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Tyron tytär lahjoinensa, rikkaat kansan seassa sinua imartelevat.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
Kuninkaan tytär on kokonansa kunniallinen sisältä: hän on kultaisessa vaatteessa puetettu.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Hän viedään monella tavalla kudotuissa vaatteissa kuninkaan tykö: neitseet, hänen ystävänsä, jotka häntä seuraavat, tuodaan sinun tykös.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Ne viedään ilolla ja riemulla, ja he menevät kuninkaan tupaan.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Sinun isäis siaan pitää sinun lapsia saaman, jotka asetat päämiehiksi kaikkeen maailmaan.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Minä tahdon muistaa sinun nimeäs sukukunnasta niin sukukuntaan: sentähden pitää kansat sinua kiittämän aina ja ijankaikkisesti.

< Zaburi 45 >