< Zaburi 45 >
1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
Kathutkung: Korah capanaw Ka lungthin heh hnokahawi hoi a poum teh, Siangpahrang kong hah ka dei han. Ka lai teh ca kathutkung e cacung patetlah coungkacoe ao.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Nang teh tami capanaw hlak na mei ahawihnawn. Na pahni dawk pahrennae awi lah ao. Hatdawkvah, Cathut ni yawhawi pou na poe.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Oe athakaawme, na bawilennae hoi na taluenae hoi, na tahloi teh na keng dawk kâyeng haw.
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
Lawkkatang hoi kârahnoumnae hoi lannae kecu dawkvah, na taluenae hoi ka tânae lahoi marang dawk kâcui haw. Hottelah, aranglae kut hoi kângairu hnonaw hah na cangkhai han.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Ka pasum e tahroe hoi siangpahrang e tarannaw e lung teh poukkayawng lah thun naseh. Na lungtabue dawk koung rawm awh naseh.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Oe Cathut, na bawitungkhung teh a yungyoe kangning e doeh. Lannae na sonron hai na ram sonron lah doeh ao.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Lannae hah lung na pataw teh, thoenae hah na hmuhma. Hatdawkvah, Cathut, na Cathut ni, satui hah na awi toe. Na huinaw hlak hai, konawmnae satui hah na awi toe.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Na khohna pueng dawk hoi murah hoi aloenaw hoi, khasia hmuitui a hmui teh, kasaino hoi pathoup e siangpahrang imnaw ni na lunghawi sak.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Bari kaawm e napui na tawn e naw thung dawkvah, ramlouk siangpahrangnaw e canunaw hai a bawk teh, nange aranglah Ophir sui hoi kamthoup e siangpahrangnu teh a tahung.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Oe, Canu thai haw, pouk nateh na hnâpakengh. Na taminaw hoi na pa im kaawm e naw hai pahnim haw.
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Hottelah pawiteh, siangpahrang ni na meihawinae hah a ngai katang han, ahni teh na bawipa doeh, bari haw.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Taire canu ni poehno sin vaiteh, tamimaya thung dawk hoi na tawnta e ni na minhmai hawi a tawng awh han.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
Siangpahrang im e siangpahrang canu teh, a sungrenpoung teh, a khohna teh sui hoi pathoup e lah ao.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Pathoup e hni kahawi kâkhu hoi siangpahrang koe cetkhai awh vaiteh, tanglakacuemnaw ama hnukkâbang hane naw hah ahni koe a thokhai awh han.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Lunghawi thahmeica lahoi thokhai awh vaiteh, siangpahrang im a kâen awh han.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Napanaw yueng lah na canaw awm awh vaiteh, ahnimouh teh talai van pueng dawk siangpahrang lah na o sak han.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Na min teh se pueng dawk panue hanelah ka sak han. Hatdawkvah, tami ni pou na pholen han.