< Zaburi 44 >

1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
Para el director del coro. Un salmo (masquil) de los hijos de Coré. Dios, hemos escuchado con nuestros propios oídos, nuestros antepasados nos han dicho todo lo que tú hiciste en sus épocas, mucho tiempo atrás.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Con tu poder quitaste del camino a las otras naciones, estableciste a nuestros antepasados en el lugar que les pertenecía; derrotaste a las naciones y enviaste a nuestros ancestros a ocupar la tierra que les habías prometido.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
No conquistaron la tierra con sus espadas; no fue a través de su fuerza que ganaron la victoria, fue por tu fuerza, tu poder, y tu compañía, porque los amabas.
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Dios, tú eres mi rey. ¡Nos diste victorias en nombre de Jacob!
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
Solo a través de ti podemos ahuyentar a nuestros enemigos. Solo en tu nombre podemos derrotar a nuestros oponentes.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
No confío en mi arco; no creo que mi espada vaya a salvarme.
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
Tú eres el único que nos salva de nuestros enemigos; acabas con aquellos que nos odian.
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
Dios, te alabamos gozosos todo el día y alabamos tu nombre. (Selah)
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
Pero ahora nos has rechazado y has apartado tu gracia de nosotros; has abandonado a nuestros ejércitos.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Nos has hecho correr huyendo de nuestros enemigos, y quienes nos odian se han llevado todo lo que han querido.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Nos has entregado como una oveja que va al sacrificio; nos has escatimado en frente de las otras naciones.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Has vendido a tu propio pueblo por el precio de nada, no haciendo ni una sola queja al momento de la venta.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Te has burlado de nosotros en frente de nuestros prójimos, somos ridiculizados y burlados por todos los que están a nuestro alrededor.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Nos has vuelto un chiste para las otras naciones; sacuden con fuerza sus manos ante nosotros.
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
Somos humillados el día entero; escondemos nuestras cabezas por la vergüenza,
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
por todos los insultos de las personas que se burlan de nosotros, porque nuestros enemigos vengativos están justo detrás de nosotros.
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
Todo esto nos ha pasado incluso aunque nunca te olvidamos; no hemos sido infieles a las promesas que nos has hecho.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
No nos hemos alejado de ti, ni en pensamientos, ni en acciones.
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
Pero tú nos aplastaste, y nos convertiste en guarida de chacales. Nos has cubierto con la oscuridad de la muerte.
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Si hemos olvidado el nombre de nuestro Dios, o hemos adorado a otros dioses,
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
¿No lo sabría Dios, siendo que él conoce los pensamientos de todos?
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
Pero por tu culpa nos matan día y noche. Somos considerados solo como ovejas listas para el sacrificio.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
¡Despiértate Señor! ¿Por qué estás durmiendo? ¡Levántate! ¡No nos des la espalda por siempre!
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
¿Por qué apartas tu vista de nosotros y no de tas cuenta de nuestra miseria y sufrimiento?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Caemos arruinados al polvo, nuestros cuerpos caen de cara al mugre.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
¡Levántate! ¡Ven y ayúdanos! ¡Sálvanos por la gracia de tu misericordioso amor!

< Zaburi 44 >