< Zaburi 44 >
1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
S svojimi ušesi smo slišali, oh Bog, naši očetje so nam povedali, kakšno delo si storil v njihovih dneh, v davnih časih.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Kako si s svojo roko napodil pogane in naselil njih; kako si prizadel ljudstvo in jih pregnal.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
Kajti dežele niso prejeli v posest s svojim lastnim mečem niti jih ni rešil njihov lastni laket, temveč tvoja desnica in tvoj laket in svetloba tvojega obličja, ker imaš do njih naklonjenost.
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Ti si moj Kralj, oh Bog, zapovej osvoboditve za Jakoba.
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
S teboj bomo podrli svoje sovražnike. S tvojim imenom bomo pomendrali te, ki se dvigujejo zoper nas.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
Kajti ne bom zaupal v svoj lok niti me ne bo rešil moj meč.
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
Toda ti si nas rešil pred našimi sovražniki in osramotil tiste, ki so nas sovražili.
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
Z Bogom se bahamo ves dan in tvoje ime hvalimo na veke. (Sela)
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
Toda ti si nas zavrgel in nas izročil v sramoto, in z našimi vojskami ne greš naprej.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Delaš nas, da se pred sovražnikom obračamo nazaj, in tisti, ki nas sovražijo, plenijo zase.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Izročil si nas kakor ovce, določene za hrano in razkropil si nas med pogane.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Zastonj prodajaš svoje ljudstvo in svojega bogastva ne povečuješ z njihovo ceno.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Delaš nas [za] grajo našim sosedom, norčevanje in posmeh tem, ki so okoli nas.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Delaš nas [za] tarčo posmeha med pogani, zmajevanje z glavo med ljudstvom.
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
Moja zmedenost je nenehno pred menoj in pokrila me je sramota mojega obraza
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
zaradi glasu tistega, ki me graja in preklinja zaradi sovražnika in maščevalca.
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
Vse to je prišlo nad nas, vendar te nismo pozabili niti s tvojo zavezo nismo ravnali napačno.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
Naše srce se ni obrnilo niti se naši koraki niso nagnili s tvoje poti,
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
čeprav si nas boleče zlomil na kraju zmajev in nas pokril s smrtno senco.
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Če smo pozabili ime svojega Boga ali iztegnili roke k tujemu bogu,
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
mar Bog tega ne bo razpoznal? Kajti on pozna skrivnosti srca.
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
Da, zaradi tebe smo pobijani ves dan, imajo nas kakor ovce za zakol.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
Zbudi se, zakaj spiš, oh Gospod? Vstani, ne zavrzi nas za vedno.
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
Zakaj skrivaš svoj obraz in pozabljaš našo stisko in naše zatiranje?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Kajti naša duša je sklonjena v prah, naš trebuh se lepi na zemljo.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
Vstani za našo pomoč in nas odkupi zaradi svojih usmiljenj.