< Zaburi 44 >

1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
Instrução para o regente; dos filhos de Coré: Ó Deus, com nossos ouvidos ouvimos, nossos pais nos contaram a obra que tu fizeste nos seus dias, nos dias antigos.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Para plantá-los, expulsaste as nações com a tua própria mão; para fazê-los crescer, afligiste os povos.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
Porque não conquistaram a terra pelas espadas deles, nem o braço deles os salvou; mas sim tua mão direita e o teu braço, e a luz de teu rosto; porque tu os favoreceste.
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Deus, tu és meu Rei; ordena salvações a Jacó.
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
Por ti venceremos nossos adversários; por teu nome passaremos por cima dos que se levantam contra nós.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
Porque minha confiança não está em meu arco; nem minha espada me salvará.
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
Pois tu nos salvaste de nossos adversários, e envergonhaste aos que nos odeiam.
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
Nós exaltamos a Deus o dia todo; e louvaremos o teu nome para sempre. (Selá)
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
Mas [agora] tu tens nos rejeitado e envergonhado; e tu não tens saído junto com nossos exércitos.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Tu nos fazes fugir do adversário, e aqueles que nos odeiam saqueiam [de nós] para si.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Tu nos entregas como ovelhas para serem comidas, e nos espalhas entre as nações.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Tu vendes a teu povo ao preço de nada, e não aumentas o seu valor.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Tu nos pões como humilhação por nossos vizinhos; como escárnio e zombaria pelos que estão ao redor de nós.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Tu nos pões como provérbio de escárnio entre as nações; como balançar de cabeça entre os povos;
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
Minha humilhação está o dia todo diante de mim; e a vergonha cobre o meu rosto,
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
Pela voz do adversário e do que insulta; por causa do inimigo e do vingador.
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
Tudo isto veio sobre nós; porém não nos esquecemos de ti, nem traímos o teu pacto.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
Nosso coração não se voltou para trás, nem nossos passos de desviaram de teu caminho.
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
Tu tens nos afligido num lugar de chacais, e nos cobriste com sobra de morte.
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Se tivéssemos esquecido do nome do nosso Deus, e estendido nossas mãos a um outro deus,
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
por acaso Deus não o descobriria? Pois ele conhece os segredos do coração.
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
Mas por causa de ti somos mortos o dia todo; somos considerados como ovelhas para o matadouro.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
Desperta; por que estás dormindo, Senhor? Acorda, não [nos] rejeites para sempre.
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
Por que escondes tua face, e te esqueces de nossa humilhação e de nossa opressão?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Pois nossa alma está abatida ao pó; nosso ventre está junto à terra.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
Levanta-te para nosso socorro; e resgata-nos por tua bondade.

< Zaburi 44 >