< Zaburi 44 >

1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
Jusqu'à la Fin. Psaume d'instruction, des fils de Koré. Dieu, nous l'avons ouï de nos oreilles; nos pères nous ont fait connaître l'œuvre que tu as faite en leurs jours, aux jours antiques.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Ta main a exterminé les nations; mais eux, tu les as établis, et tu as affligé les Gentils, tu les as chassés.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
Car ce n'est point l'épée de nos pères qui les a mis en possession de notre héritage; ce n'est point leur bras qui les a sauvés; mais c'est ta droite et ton bras, et la lumière de ta face, parce que toi tu t'es complu en eux.
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Tu es toi-même mon Roi et mon Dieu; tu as ordonné le salut de Jacob.
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
Par toi, nous aurons la force de soulever nos ennemis, et en ton nom nous mépriserons ceux qui se lèvent contre toi.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
Car je n'espérerai point en mon arc, et ce n'est pas mon glaive qui me sauvera.
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
C'est toi qui nous as déjà sauvés de nos persécuteurs, et ceux qui nous haïssaient, tu les as confondus.
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
En Dieu nous serons loués tout le jour, et nous rendrons grâces à son nom éternellement.
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
Mais maintenant tu nous as repoussés et confondus, et tu ne sortiras plus avec nos armées.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Tu nous as tourné le dos devant nos ennemis, et ceux qui nous haïssent nous ont pillés à leur profit.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Tu nous as livrés comme des brebis bonnes à manger; tu nous as dispersés parmi les Gentils.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Tu leur as vendu pour rien ton peuple, et il n'y a pas eu foule pour l'acheter.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Tu as fait de nous l'opprobre de nos voisins, la risée et la raillerie de ceux qui nous entourent.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Tu as fait de nous la fable des Gentils; sur nous les peuples secouent la tête.
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
J'ai tout le jour ma honte devant moi, et la confusion de ma face m'a couvert,
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
A la voix de celui qui m'injurie et m'outrage, à la face de mon ennemi et de mon persécuteur.
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
Toutes ces choses sont venues sur nous; mais nous ne t'avons point oublié; nous n'avons point violé ton alliance.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
Notre cœur ne s'est pas éloigné; mais tu as détourné nos sentiers de ta voie.
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
Car tu nous as humiliés en un lieu d'affliction, et l'ombre de la mort nous a enveloppés.
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Si nous avions oublié le nom de notre Dieu, si nous avions étendu les mains vers des dieux étrangers,
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
Dieu ne rechercherait-il pas ces choses? Car seul il connaît les secrets des cœurs.
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
A cause de toi nous mourons tout le jour; nous sommes comptés comme les brebis du sacrifice.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
Réveille-toi; pourquoi dors-tu, Seigneur? Lève-toi, et ne nous repousse pas jusqu'à la fin.
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
Pourquoi détournes-tu ta face? As-tu oublié notre pauvreté et notre affliction?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Car notre âme est abaissée jusqu'à la poussière, et notre ventre est collé sur le sol.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
Lève-toi, Seigneur; viens à notre secours, et délivre-nous pour la gloire de ton nom.

< Zaburi 44 >