< Zaburi 44 >
1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
to/for to conduct to/for son: descendant/people Korah Maskil God in/on/with ear our to hear: hear father our to recount to/for us work to work in/on/with day their in/on/with day front: old
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
you(m. s.) hand your nation to possess: take and to plant them be evil people and to send: let go them
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
for not in/on/with sword their to possess: take land: country/planet and arm their not to save to/for them for right your and arm your and light face your for to accept them
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
you(m. s.) he/she/it king my God to command salvation Jacob
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
in/on/with you enemy our to gore in/on/with name your to trample to arise: rise us
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
for not in/on/with bow my to trust and sword my not to save me
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
for to save us from enemy our and to hate us be ashamed
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
in/on/with God to boast: boast all [the] day: always and name your to/for forever: enduring to give thanks (Selah)
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
also to reject and be humiliated us and not to come out: come in/on/with army our
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
to return: return us back from enemy and to hate us to plunder to/for them
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
to give: make us like/as flock food and in/on/with nation to scatter us
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
to sell people your in/on/with not substance and not to multiply in/on/with price their
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
to set: make us reproach to/for neighboring our derision and derision to/for around us
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
to set: make us proverb in/on/with nation shaking head not people
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
all [the] day shame my before me and shame face my to cover me
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
from voice: sound to taunt and to blaspheme from face enemy and to avenge
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
all this to come (in): come us and not to forget you and not to deal in/on/with covenant your
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
not to turn back heart our and to stretch step our from way your
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
for to crush us in/on/with place jackal and to cover upon us in/on/with shadow
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
if to forget name God our and to spread palm our to/for god be a stranger
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
not God to search this for he/she/it to know secret heart
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
for upon you to kill all [the] day to devise: count like/as flock slaughtered
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
to rouse [emph?] to/for what? to sleep Lord to awake [emph?] not to reject to/for perpetuity
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
to/for what? face your to hide to forget affliction our and oppression our
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
for to sink to/for dust soul our to cleave to/for land: soil belly: abdomen our
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
to arise: rise [emph?] help to/for us and to ransom us because kindness your