< Zaburi 44 >

1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
Aw Khawsa ka ming haa ing zahawh unyng; ka pakhqi ami hqing tloek awh ak kqym awh nang ing na sai peekkhqi ce kaimih a venawh kqawn hawh uhy.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Na kut ing nang ngawh thlangphyn khqi thlak khqi pheng nawh ka pakhqi ce dyih sak hyk ti; thlangkhqi ce hqe nawh ka pakhqi ce kqeng sak hyk ti.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
Zawzi ing cekkhqi a qam ce am noeng unawh, ami bantha ingawm am noeng uhy; nang ak tang ben, nang a baan, ak vang nang a haai ing ni, kawtih cekkhqi ce nang ing lungna hyk ti.
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Nang taw ka sangpahrang ingkaw ka Khawsa na awm hyk ti, Jacob aham na noengnaak awi ak pekung na awm hyk ti.
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
Namah ak caming kaimih ing ka qaalkhqi huna nawn sak unyng; namah ang ming ing ka qaalkhqi ce leh unyng.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
Ka licung ve am ypna nyng saw, kak zawzi ingawm amni noeng sak hy;
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
Cehlai, ka qaalkhqik khan awh noengnaak ce ni pe nawh, ka thunkhakhqi ce chah phyih sak hyk ti.
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
Myngawi Khawsa awh oek qu kang nyng saw, nang ming ce kumqui dyna kyihcah kawng unyng.
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
Cehlai tuh taw ni qoek nawh ak kai dyt na ni ta hawh hyk ti; ka qaalkapkhqi ingawm am cet haih voel hyk ti.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Ka qaal a haiawh hu na ning thoeih sak nawh, ka thunkhakhqi ing ni him khqi pheng hy.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Tuu amyihna daih aham ni hlah hyt tiksaw pilnam thlang venawh ni thek ni zak hyk ti.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Nak thlangkhqi ce a phu ak zawi cana zawi hlai hyk ti, zawih phu awm am awm lawk a he hy.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Ka imcengkhqi am theet hly hqoeng na ni sai tiksaw, ka keng thlangkhqi a thekha qaihnaak ni phyih sak hyk ti.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Pilnam anglakawh thlang ak kqawn hly kqoeng na ni sai tiksaw; thlang ing a lu nik kqek sih hy.
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
Na haiawh myngawi kang ming se nawh, ka haai ve chahnaak ing sing khoep hy,
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
ak che na nik kqawn seet nawh, lu lawh aham ak caika qaalkhqi a dawngawh ni.
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
Nang ce am nim hilh unyng saw na paipi awm a sawhqat na am sai thai unyng; vemyihkhqi boeih ve kaimih a venawh pha law hy.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
Kamik kawlungkhqi huna am thoeih nawh; kami khawkhqi awm na lam awhkawng am pleng hy.
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
Cehlai kqawng uikhqi a hqip thek thyk aham nang ing ni nam qap nawh thannaak ing ni sing khoep hyk ti.
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Ka Khawsa ang ming ce hilh unawh qapchang khawsa a venawh kut kami phyl mantaw,
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
kawlung ak hyp zani ak simkung, Khawsa ing am hu kawm nu?
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
Cehlai, nang awh myngawi thihnaak hu unyng; him ham kawina ak awm tuu amyihna ning ngai uhy.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
Aw Bawipa, hqyng lah! Ikawtih, na ih hy voei? Kqoek qu lah! Kaimih ve kumqui dyna koeh ni hqek khqi.
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
Ikawtih, na haai thuh nawh kaimih a kyinaak ingkaw khuikhanaak ve nam hilh hy voei?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Dekvai awh nung tla unawh; dek awh kami pum ve bet qu qap hawh hy.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
Tho nawhtaw kaimih ve nik pyi khqi lah; amak dyt thai na lungnaak awh kaimih ve ni hul khqi lah.

< Zaburi 44 >