< Zaburi 43 >

1 Mungu, uniletee haki, na unitetee dhidi ya taifa lisilo la kimungu.
上帝啊,求你伸我的冤, 向不虔誠的國為我辨屈; 求你救我脫離詭詐不義的人。
2 Kwa kuwa wewe ni Mungu wa nguvu zangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?
因為你是賜我力量的上帝,為何丟棄我呢? 我為何因仇敵的欺壓時常哀痛呢?
3 Oh, tuma nuru yako na kweli yako ziniongoze. Ziniletee mlima wako mtakatifu na makao yako.
求你發出你的亮光和真實,好引導我, 帶我到你的聖山,到你的居所!
4 Kisha nitakwenda madhabahuni mwa Mungu, kwa Mungu wangu aliye furaha yangu kuu. Nami nitakusifu wewe kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.
我就走到上帝的祭壇, 到我最喜樂的上帝那裏。 上帝啊,我的上帝, 我要彈琴稱讚你!
5 Roho yangu, kwa nini umeinama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Kwa kuwa nitamsifu tena yeye ambaye ni wokovu wangu na Mungu wangu.
我的心哪,你為何憂悶? 為何在我裏面煩躁? 應當仰望上帝,因我還要稱讚他。 他是我臉上的光榮,是我的上帝。

< Zaburi 43 >