< Zaburi 42 >

1 Kama ayala ayatamanivyo maji ya mto. ndivyo hivyo ninakiu yako, Mungu.
Przewodnikowi chóru. Psalm pouczający dla synów Korego. Jak jeleń pragnie wód strumieni, tak moja dusza pragnie ciebie, Boże.
2 Ninakiu yako Mungu, Mungu uliye hai, ni lini nitaonekana mbele zako?
Moja dusza jest spragniona Boga, Boga żywego. Kiedy przyjdę i ukażę się przed obliczem Boga?
3 Machozi yangu yamekuwa ni chakula changu mchana na usiku, wakati maadui zangu siku zote wanasema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Łzy stały się dla mnie chlebem we dnie i w nocy, gdy mówią do mnie co dzień: Gdzie jest twój Bóg?
4 Mambo haya niayakumbuka ninapoumimina roho yangu: nilipoenda na umati wa watu na kuwaongoza kwenye nyumba ya Mungu kwa sauti ya shangwe na kusifu, ni wengi tulisherekea.
Wylewam swą duszę, gdy wspominam, jak krocząc w tłumie, szedłem z nimi do domu Bożego wśród głosów radości i chwały, pośród świętującego tłumu.
5 Roho yangu, kwa nini unainama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu, Kwa kuwa kwa mara nyingine nitamsifu yeye ambaye ni wokovu wangu.
Dlaczego się smucisz, moja duszo, i czemu się we mnie trwożysz? Zaufaj Bogu, bo jeszcze będę go wysławiał [za] jego zbawcze oblicze.
6 Mungu wangu, roho yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo ninakukumbuka toka nchi ya Yordani, toka kwenye vilele vitatu vya mlima Hermoni, na toka mlima wa Mizari.
Mój Boże, smuci się we mnie moja dusza, dlatego wspominam cię z ziemi Jordanu i Hermonu, z góry Misar.
7 Kina huita kina kwenye kelele za maporomoko ya maji yako; mawimbi na mafuriko yako yote yako juu yangu.
Przepaść przyzywa przepaść szumem twoich upustów; wszystkie twoje fale i nawałnice przewalają się nade mną.
8 Wakati wa mchana Yahwe ataamuru uaminifu wa agano lake; na usiku wimbo wake utakuwa nami, ombi kwa Mungu wa uhai wangu.
Lecz we dnie PAN udzieli mi swego miłosierdzia, a w nocy [będzie] we mnie jego pieśń [i] moja modlitwa do Boga mego życia.
9 Nami nitasema kwa Mungu wangu, mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?”
Powiem Bogu, mojej skale: Czemu o mnie zapomniałeś? Czemu chodzę smutny z powodu ucisku wroga?
10 Kama upanga mifupani pangu, maadui zangu wananikemea, siku zote wakiniambia, “Yuko wapi Mungu wako?”
Jak rana w moich kościach, tak mnie urągają moi wrogowie, gdy mówią do mnie każdego dnia: Gdzie jest twój Bóg?
11 Roho yangu, kwa nini umeinama chini? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu kwa kuwa nitamsifu tena yeye aliye wokovu wangu na Mungu wangu.
Czemu się smucisz, moja duszo, i czemu się we mnie trwożysz? Zaufaj Bogu, bo jeszcze będę go wysławiał, [gdyż on jest] zbawieniem mego oblicza i moim Bogiem.

< Zaburi 42 >