< Zaburi 42 >

1 Kama ayala ayatamanivyo maji ya mto. ndivyo hivyo ninakiu yako, Mungu.
DUEN tia amen inong iong pil, iduen ngen i kin inong iong komui o Kot.
2 Ninakiu yako Mungu, Mungu uliye hai, ni lini nitaonekana mbele zako?
Ngen i inong iong Kot, ong Kot ieias. Iad i pan lel wasa o, me i pan ariri silang en Kot.
3 Machozi yangu yamekuwa ni chakula changu mchana na usiku, wakati maadui zangu siku zote wanasema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Pil en mas ai, iei kan ai manga ni ran o ni pong, pwe irail kin indang ia ran karos: Ia om Kot?
4 Mambo haya niayakumbuka ninapoumimina roho yangu: nilipoenda na umati wa watu na kuwaongoza kwenye nyumba ya Mungu kwa sauti ya shangwe na kusifu, ni wengi tulisherekea.
Ma i madamadaua duen mepukat, i ap wudokila audepan mongiong i ong pein ngai, pwe i inong iong iang pokon o kokodalang tanpas en Kot, o i men iang pokon, me kin wiada a ran, pereperen o kapikapinga.
5 Roho yangu, kwa nini unainama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu, Kwa kuwa kwa mara nyingine nitamsifu yeye ambaye ni wokovu wangu.
Ngen i, da me koe insensuedeki o sota moleileiki? Auiaui Kot! I pan purong kapinga i. Pwe a kotin sauasa kin ia silang i.
6 Mungu wangu, roho yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo ninakukumbuka toka nchi ya Yordani, toka kwenye vilele vitatu vya mlima Hermoni, na toka mlima wa Mizari.
Ai Kot, ngen i me insensued; i ap madamadaua duen komui nan sap en kailan Iordan o Ermonin, pon dol Misar.
7 Kina huita kina kwenye kelele za maporomoko ya maji yako; mawimbi na mafuriko yako yote yako juu yangu.
Sapwilim omui pil akan ngiringirsok, pil laud akan ngiringirsok; sapwilim omui iluk kan karos kadupal ia di.
8 Wakati wa mchana Yahwe ataamuru uaminifu wa agano lake; na usiku wimbo wake utakuwa nami, ombi kwa Mungu wa uhai wangu.
Ieowa kotin inaukidar a kalangan ni ran, a ni pong i kin kauli ong i, o i kapakap ong Kot en maur i.
9 Nami nitasema kwa Mungu wangu, mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?”
I kin indang Kot ai paip: Da me kom kotin likidmalie kin ia la? Da me i en weweideki ni insensued pweki ai imwintiti kelail ong ia?
10 Kama upanga mifupani pangu, maadui zangu wananikemea, siku zote wakiniambia, “Yuko wapi Mungu wako?”
Likamata kokon ai kan mut pasanger, ni ai imwintiti lalaue ia. Pwe re kin indang ia ran karos: Ia om Kot?
11 Roho yangu, kwa nini umeinama chini? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu kwa kuwa nitamsifu tena yeye aliye wokovu wangu na Mungu wangu.
Ngen i, da me koe insensuedeki o sota moleileiki? Auiaui Kot! Pwe i pan danke i, pwe i sauas pan mas ai o ai Kot.

< Zaburi 42 >