< Zaburi 42 >

1 Kama ayala ayatamanivyo maji ya mto. ndivyo hivyo ninakiu yako, Mungu.
Veisuunjohtajalle; koorahilaisten mietevirsi. Niinkuin peura halajaa vesipuroille, niin minun sieluni halajaa sinua, Jumala.
2 Ninakiu yako Mungu, Mungu uliye hai, ni lini nitaonekana mbele zako?
Minun sieluni janoo Jumalaa, elävää Jumalaa. Milloin saan minä tulla Jumalan kasvojen eteen?
3 Machozi yangu yamekuwa ni chakula changu mchana na usiku, wakati maadui zangu siku zote wanasema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Kyyneleeni ovat minun ruokani päivin ja öin, kun minulle joka päivä sanotaan: "Missä on sinun Jumalasi?"
4 Mambo haya niayakumbuka ninapoumimina roho yangu: nilipoenda na umati wa watu na kuwaongoza kwenye nyumba ya Mungu kwa sauti ya shangwe na kusifu, ni wengi tulisherekea.
Näitä minä muistelen ja vuodatan sydämeni: minä kuljin väentungoksessa, astuin sen kanssa Jumalan huoneeseen riemun ja kiitoksen raikuessa juhlivasta joukosta.
5 Roho yangu, kwa nini unainama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu, Kwa kuwa kwa mara nyingine nitamsifu yeye ambaye ni wokovu wangu.
Miksi murehdit, minun sieluni, ja olet minussa niin levoton? Odota Jumalaa. Sillä vielä minä saan häntä kiittää hänen kasvojensa avusta.
6 Mungu wangu, roho yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo ninakukumbuka toka nchi ya Yordani, toka kwenye vilele vitatu vya mlima Hermoni, na toka mlima wa Mizari.
Minun Jumalani, minun sieluni on murheellinen minussa, sentähden minä muistan sinua Jordanin maalla, Hermonin kukkuloilla ja Misarin vuorella.
7 Kina huita kina kwenye kelele za maporomoko ya maji yako; mawimbi na mafuriko yako yote yako juu yangu.
Sinun koskiesi pauhussa syvyys syvyydelle huutaa, kaikki sinun kuohusi ja aaltosi käyvät minun ylitseni.
8 Wakati wa mchana Yahwe ataamuru uaminifu wa agano lake; na usiku wimbo wake utakuwa nami, ombi kwa Mungu wa uhai wangu.
Päivällä Herra säätää armonsa, ja yöllä minä hänelle veisaan ja rukoilen elämäni Jumalaa.
9 Nami nitasema kwa Mungu wangu, mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?”
Minä sanon Jumalalle, kalliolleni: "Miksi olet minut unhottanut? Miksi minun täytyy käydä murhepuvussa, vihollisen ahdistamana?"
10 Kama upanga mifupani pangu, maadui zangu wananikemea, siku zote wakiniambia, “Yuko wapi Mungu wako?”
Minun luitani jäytää, kun viholliseni minua häpäisevät, sanoen minulle kaiken päivää: "Missä on sinun Jumalasi?"
11 Roho yangu, kwa nini umeinama chini? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu kwa kuwa nitamsifu tena yeye aliye wokovu wangu na Mungu wangu.
Miksi murehdit, minun sieluni, ja miksi olet minussa niin levoton? Odota Jumalaa. Sillä vielä minä saan kiittää häntä, minun kasvojeni apua, minun Jumalaani.

< Zaburi 42 >