< Zaburi 42 >

1 Kama ayala ayatamanivyo maji ya mto. ndivyo hivyo ninakiu yako, Mungu.
to/for to conduct Maskil to/for son: descendant/people Korah like/as deer to long for upon channel water so soul my to long for to(wards) you God
2 Ninakiu yako Mungu, Mungu uliye hai, ni lini nitaonekana mbele zako?
to thirst soul my to/for God to/for God alive how to come (in): come and to see: see face: before God
3 Machozi yangu yamekuwa ni chakula changu mchana na usiku, wakati maadui zangu siku zote wanasema, “Yuko wapi Mungu wako?”
to be to/for me tears my food by day and night in/on/with to say to(wards) me all [the] day where? God your
4 Mambo haya niayakumbuka ninapoumimina roho yangu: nilipoenda na umati wa watu na kuwaongoza kwenye nyumba ya Mungu kwa sauti ya shangwe na kusifu, ni wengi tulisherekea.
these to remember and to pour: pour upon me soul my for to pass in/on/with throng to go slowly them till house: temple God in/on/with voice cry and thanksgiving crowd to celebrate
5 Roho yangu, kwa nini unainama? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu, Kwa kuwa kwa mara nyingine nitamsifu yeye ambaye ni wokovu wangu.
what? to bow soul my and to roar upon me to wait: hope to/for God for still to give thanks him salvation face of his
6 Mungu wangu, roho yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo ninakukumbuka toka nchi ya Yordani, toka kwenye vilele vitatu vya mlima Hermoni, na toka mlima wa Mizari.
God my upon me soul my to bow upon so to remember you from land: country/planet Jordan and Hermon from mountain: mount (Mount) Mizar
7 Kina huita kina kwenye kelele za maporomoko ya maji yako; mawimbi na mafuriko yako yote yako juu yangu.
abyss to(wards) abyss to call: call to to/for voice: sound water your all wave your and heap: wave your upon me to pass
8 Wakati wa mchana Yahwe ataamuru uaminifu wa agano lake; na usiku wimbo wake utakuwa nami, ombi kwa Mungu wa uhai wangu.
by day to command LORD kindness his and in/on/with night (song his *Q(K)*) with me prayer to/for God life my
9 Nami nitasema kwa Mungu wangu, mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninaenenda katika maombolezo kwa sababu ya ukandamizaji wa adui yangu?”
to say to/for God crag my to/for what? to forget me to/for what? be dark to go: went in/on/with oppression enemy
10 Kama upanga mifupani pangu, maadui zangu wananikemea, siku zote wakiniambia, “Yuko wapi Mungu wako?”
in/on/with shattering in/on/with bone my to taunt me to vex me in/on/with to say they to(wards) me all [the] day where? God your
11 Roho yangu, kwa nini umeinama chini? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu kwa kuwa nitamsifu tena yeye aliye wokovu wangu na Mungu wangu.
what? to bow soul my and what? to roar upon me to wait: hope to/for God for still to give thanks him salvation face of my and God my

< Zaburi 42 >