< Zaburi 41 >

1 Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
Müzik şefi için - Davut'un mezmuru Ne mutlu yoksulu düşünene! RAB kurtarır onu kötü günde.
2 Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
Korur RAB, yaşatır onu, Ülkede mutlu kılar, Terk etmez düşmanlarının eline.
3 Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
Destek olur RAB ona Yatağa düşünce; Hastalandığında sağlığa kavuşturur onu.
4 Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
“Acı bana, ya RAB!” dedim, “Şifa ver bana, çünkü sana karşı günah işledim!”
5 Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
Kötü konuşuyor düşmanlarım ardımdan: “Ne zaman ölecek adı batası?” diyorlar.
6 Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
Biri beni görmeye geldi mi, boş laf ediyor, Fesat topluyor içinde, Sonra dışarı çıkıp fesadı yayıyor.
7 Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
Benden nefret edenlerin hepsi Fısıldaşıyor aralarında bana karşı, Zararımı düşünüyorlar,
8 Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
“Başına öyle kötü bir şey geldi ki” diyorlar, “Yatağından kalkamaz artık.”
9 Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
Ekmeğimi yiyen, güvendiğim yakın dostum bile İhanet etti bana.
10 Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
Bari sen acı bana, ya RAB, kaldır beni. Bunların hakkından geleyim.
11 Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
Düşmanım zafer çığlığı atmazsa, O zaman anlarım benden hoşnut kaldığını.
12 Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
Dürüstlüğümden ötürü bana destek olur, Sonsuza dek beni huzurunda tutarsın.
13 Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili
Öncesizlikten sonsuza dek, Övgüler olsun İsrail'in Tanrısı RAB'be! Amin! Amin!

< Zaburi 41 >