< Zaburi 41 >

1 Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
Przewodnikowi chóru. Psalm Dawida. Błogosławiony, kto zważa na ubogiego, PAN go wybawi w dniu niedoli.
2 Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
PAN będzie go strzegł, zachowa przy życiu, będzie mu błogosławił na ziemi i nie wyda go na pastwę jego wrogów.
3 Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
PAN pokrzepi go na łożu boleści, w czasie choroby poprawi całe jego posłanie.
4 Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
Powiedziałem: PANIE, zmiłuj się nade mną, uzdrów moją duszę, bo zgrzeszyłem przeciwko tobie.
5 Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
Moi wrogowie źle o mnie mówią: Kiedy on umrze i zginie jego imię?
6 Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
Jeśli któryś przychodzi mnie odwiedzić, mówi obłudnie; w swoim sercu gromadzi nieprawość, a gdy wychodzi, rozpowiada.
7 Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
Wszyscy, którzy mnie nienawidzą, szepczą wspólnie przeciwko mnie, przeciwko mnie obmyślają zło;
8 Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
[Mówiąc]: Spadła na niego złośliwa zaraza, położył się i już nie wstanie.
9 Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
Nawet mój przyjaciel, któremu ufałem, który jadł mój chleb, podniósł przeciwko mnie piętę.
10 Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
Ale ty, PANIE, zmiłuj się nade mną i podnieś mnie, abym im odpłacił.
11 Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
Po tym poznam, że mnie sobie upodobałeś, że mój wróg nie będzie triumfował nade mną.
12 Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
Ty zaś wesprzesz mnie ze względu na moją uczciwość i na wieki postawisz mnie przed swoim obliczem.
13 Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili
Błogosławiony PAN, Bóg Izraela, od wieków aż na wieki. Amen, amen.

< Zaburi 41 >