< Zaburi 41 >
1 Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
Au maître de chant. Psaume de David. Heureux celui qui prend souci du pauvre! Au jour du malheur, Yahweh le délivrera.
2 Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
Yahweh le gardera et le fera vivre; il sera heureux sur la terre, et tu ne le livreras pas au désir de ses ennemis.
3 Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
Yahweh l’assistera sur son lit de douleur; tu retourneras toute sa couche dans sa maladie.
4 Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
Moi, je dis: « Yahweh, aie pitié de moi! guéris mon âme, car j’ai péché contre toi! »
5 Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
Et mes ennemis profèrent contre moi des malédictions: « Quand mourra-t-il? Quand périra son nom? »
6 Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
Si quelqu’un vient me visiter, il ne profère que mensonges; son cœur recueille l’iniquité; quand il s’en va, il parle au dehors.
7 Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
Tous mes ennemis chuchotent ensemble contre moi, contre moi ils méditent le malheur.
8 Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
« Un mal irrémédiable, [disent-ils], a fondu sur lui; le voilà couché, il ne se relèvera plus! »
9 Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
Même l’homme qui était mon ami, qui avait ma confiance et qui mangeait mon pain, lève le talon contre moi.
10 Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
Toi, Yahweh, aie pitié de moi et relève-moi, et je leur rendrai ce [qu’ils méritent].
11 Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
Je connaîtrai que tu m’aimes, si mon ennemi ne triomphe pas de moi.
12 Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
À cause de mon innocence, tu m’as soutenu, et tu m’as établi pour toujours en ta présence.
13 Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili
Béni soit Yahweh, le Dieu d’Israël, dans les siècles des siècles! Amen! Amen!