< Zaburi 41 >

1 Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
DICHOSO ayo y maase ni y mamoble; sa y jaanen y tinaelaye nae, si Jeova ulinibre.
2 Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
Si Jeova uinadajegüe, yan umantiene güe lâlâ; ya güiya udichoso gui tano; ya tiuenentrega güe gui minalago y enemiguña.
3 Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
Si Jeova uinayuda güe jilo camaña ni y pinitiña; unfatinas todo y camaña anae malango.
4 Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
Guajo ilegco: Jeova gaease nu guajo: najomlo y antijo; sa umisaoyo contra jago.
5 Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
y enemigujo jasangan y taelaye contra guajo ilegñija: Ngaean umatae, ya ufalingo y naanña?
6 Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
Anae mato para uliiyo, jasangan y taebale; y corasonña nae mandaña y tinaelaye pot güiyaja; anae jumanao juyong jasangan ayo.
7 Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
Todo y chumatliiyo manañangon entre sija contra guajo; contra guajo nae majaso y tinaelayeco.
8 Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
Ti mauleg na chetnot, ilegñija, sumaga guiya güiya; sa anae umason gui cama ti siña ninacajulo talo.
9 Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
Ya ayo y güinaeyaco nae juangocoyo, güiya y cumano y najo pan, jajatsa y dedegoña contra guajo.
10 Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
Lao jago Jeova, gaease nu guajo, ya unacajuloyo, para juapase sija.
11 Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
Pot este jutungo, na unmagof guiya guajo, sa y enemigujo ti ujagana yo.
12 Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
Ya guajo, gui quinabalesso unmantieneyo; ya unpoloyo gui menamo para taejinecog.
13 Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili
Bendesido si Jeova ni y Yuus Israel, ni y taejinecog, yan taejinecog. Amen, Amen.

< Zaburi 41 >