< Zaburi 39 >
1 Niliamua, “Nitakuwa mwangalifu kwa kile nisemacho ili kwamba nisitende dhambi kwa ulimi wangu. Nitaufumba mdomo wangu niwapo uweponi mwa mtu mwovu.”
NGAI inda: I pan kanai ong al ai kan, pwe i ender wia dip ki lo i. I pan sali pena au ai arain en me sapung o mi re i.
2 Nilikaa kimya; Nilizuia maneno yangu hata kuongea lolote zuri, na maumivu yangu yalizidi sana.
I kadukiedier ai lokaia o nenenlar o solar inda duen peren, a ai kalokolok lalaudalar.
3 Moyo wangu ukawaka moto; nilipoyatafakari mambo haya, yaliniunguza kama moto. Ndipo mwishowe niliongea.
Mongiong i karakaradar nan kapedi, o ma i pan tamanda mepukat, a rasong kisiniai lulada; i ap lokaia kida lo i.
4 Yahwe, unijulishe ni lini utakuwa mwisho wa maisha yangu na kiwango cha siku zangu. Unioneshe jinsi maisha yangu yalivyo mafupi.
Maing, kotin padaki ong ia, me maur i pan imwisokela, o imwi pan ai ran akan, me i pan samoer.
5 Tazama, wewe umezifanya siku zangu kama upana wa kiganja changu tu, sikuzangu za kuishi ni kama si kitu mbele zako. Hakika kila mtu ana pumzi moja. (Selah)
Mangi, ai ran akan dueta tälap en pa en aramas re omui; o maur i likamata sota meakot mo’mui. Melel aramas, me kin keleki pein i, kin dueta adiniai. (Sela)
6 Hakika kila mtu hutembea kama kivuli. Hakika kila mmoja hufanya haraka kuhusu kukusaya utajiri ingawa hawajui ni nani atazipokea.
Re kin alialu sili rasong mota, o re kin katoutouki pein irail dodok mal. Re kin nanak pena ap sasa, is me pan naineki.
7 Sasa, Bwana, ninasubiri kwa ajili ya nini? Wewe ni tumaini langu pekee.
Ari Maing, is me i en auiaui? I kaporoporeki komui.
8 Uniokoe na dhambi zangu; usinifanye laumu ya wabumbavu.
Dore ia la sang dip ai karos, o kom der mueid ong, me pweipwei kan en kaurur kin ia.
9 Niko kimya na siwezi kufungua mdomo wangu, kwa sababu ni wewe ndiwe umefanya hivyo.
I pan nenenla o sota sar pasang au ai, pwe kom kotin wiadar.
10 Acha kunijeruhi; nimezidiwa na pigo la mkono wako.
Kotin katukiedi omui kaloke ia; pwe ngai dupok kilar ai kalokolok pan lim omui.
11 Wewe unapowaadhibu watu kwa ajili ya dhambi, huvila kama nondo vitu vyao wavitamanivyo; hakika watu si kitu bali mvuke. Serah
Ma kom pan kaloke amen pweki dip a, mom a kaselel ap pan suedala likamada man en mot kangala. O meid mal aramas karos! (Sela)
12 Sikia maombi yangu, Yahwe, na unisikilize; usikie kilio changu! Usiwe kiziwi kwangu, kwa maana niko kama mgeni pamoja nawe, kimbilio langu la usalama kama mababu zangu walivyokuwa.
Maing kom kotin ereki ai kapakap, o mangi ai likwir, o der sapaimokid ni ai sangesang, pwe ngai sapwilim omui men kairu o pweledan omui wei men dueta sam ai kan karos.
13 Geuzia furaha yako kwangu ili kwamba niweze kutabasamu kabla sijafa.
Kom kotin muei sang ia, pwe i en kelailada, mon ai pan kokowei o solar mia.