< Zaburi 38 >
1 Yahwe, usinikemee katika hasira yako; usiniadhibu katika ghadhabu yako.
MAING, der kotin kaloke ia ni omui kupur sued, o der kame ia ni omui ongiong.
2 Kwa kuwa mishale yako hunichoma, na mkono wako huniangusha chini.
Pwe sapwilim omui kanangan kasik katieu lel dong ia, o lim omui katoutou ia.
3 Mwili wangu wote unaumwa kwa sababu ya hasira yako; kwa sababu ya dhambi zangu mifupa yangu haina afya.
Sota mau kot ni pali war ai pweki omui ongiong, o sota moleilei nan kokon ai kan pweki dip ai
4 Kwa maana maovu yangu yamenielemea; yamekuwa mzigo mzito kwangu.
Pwe dip ai kin kadupaledi mong ai, re kin katoutou ia dueta meakot me toutou melel.
5 Vidonda vyangu vimeoza na vinanuka kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
Ai ola kan posuedela o nanan pweki ai pweipwei.
6 Nimepindika na kuwa mnyonge kila siku; ninaenenda katika maombolezo siku zote.
I kin kos pena o pairok wei alialu, i kin insensued ansau karos,
7 Kwa maana ndani yangu, ninaungua; hakuna afya katika mwili wangu.
Pwe longelong ai mongedier melel, o sota mau kot ni pali war ai.
8 Nimedhohofika na kulemewa sana; ninaugua kwa sababu ya dhiki yangu.
Ngai luetalar melel o i wokiwok pasanger. I kin sangesang, pweki mongiong i sota kak moleilei.
9 Bwana, wewe unaielewa shauku ya ndani kabisa ya moyo wangu, na kuugua kwangu hakujifichika kwako.
Maing, kom kotin mangi ai inong karos, o ai sangesang sota rir sang komui.
10 Moyo wangu unapwita pwita, nguvu zangu zinaniisha, macho yangu yanafifia.
Mongiong i rerer, ai kelail ko sanger re i, o marain en mas ai pil rotorotala.
11 Marafiki na ndugu zangu wamenitenga kwa sababu ya hali; majirani zangu hukaa mbali nami.
Kompoke pai o ai warok kan kin doowei sang ia, o suedeki ai kalokolok, o sau i kan kin doo sang ia.
12 Wale wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego kwa ajili yangu. Wao ambao hutafuta kunidhuru huongea maneno ya uharibifu na husema maneno ya uongo siku nzima.
O me kin inong iong kame ia la, kin masamasan ia, o me men wia sued ong ia, kin indinda duen ar pan wiada dodok sued, o re kin widiwiding ansau karos.
13 Lakini, niko kama mtu kiziwi na sisikii lolote; niko kama mtu bubu ambaye hasemi lolote.
A ngai dueta me salongepon amen, me sota rong wasa, o dueta me lotong, me sota kak sar pasang au a.
14 Niko kama mtu asiye sikia na mbaye hawezi kujibu.
Ngai dueta ol amen me solar rong wasa, o sota depuk en lokaia mi nan au ai.
15 Hakika ninakungoja wewe, Yahwe; wewe utanijibu, Bwana Mungu wangu.
A i kin auiaui komui, Maing. Komui Maing ai Kot pan kotin sapeng ia.
16 Ninasema hivi ili kwamba maadui zangu wasije wakafurahia juu yangu. Ikiwa mguu wangu utateleza, watanifanyia mambo mabaya.
Pwe i men, ren der peren kin ia. Ma nä i pan krisedi, re pan peren kida melel.
17 Kwa kuwa niko karibu mashakani, na niko katika maumivu ya mara kwa mara.
Pwe i koren iong pupedi, o ai kalokolok kin koren iong ia ansau karos.
18 Ninatubu makosa yangu; ninahuzunika kwa dhambi zangu.
Pwe i weokada dip ai kan o suedeki dip ai.
19 Lakini maadui zangu ni wengi; wale wanichukiao ni wengi.
A ai imwintiti kan memaureta o irail me kelail; me kailong kin ia ni sota karepa me toto.
20 Wao wananilipa mabaya kwa mema; wanavurumiza shutuma kwangu ingawa nimefuata lililo jema.
O me kin depukki ai me mau me sued, kin palian ia, pweki ai dadaurata me mau.
21 Usinitelekeze, Yahwe, Mungu wangu, usikae mbali nami.
Ieowa ai Kot, kom der muei sang ia o der doowei sang ia!
22 Njoo haraka unisaidie, Bwana, wokovu wangu.
Kom kotin madang dong ia, Maing sauas pa i.