< Zaburi 37 >

1 Usikereshwe na wafanyao maovu; usiwaonee wivu wale watendao yasiyo haki.
Wadela: i hamosu dunu ilia hou hamobeba: le, mae da: i dioma! Giadofale hamobe dunu da liligi bagade lasea, mae mudale ba: ma!
2 Kwa kuwa muda mfupi watakauka kama nyasi na kukauka kama vile mimea ya kijani ikaukavyo wakati wa kiangazi.
Ilia da gisi amo da hedolo bioi gia: su defele, hedolowane alalolesimu. Ilia da bugi amo bioi gia: su defele, hedolo bogomu.
3 Uwamini Mungu na kufanya yaliyo mema; uishi katika nchi na uongezeke katika imani.
Dilia! Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: le, moloidafa hou hamoma! Soge amoga fifilale, gaga: iwane esaloma!
4 Kisha ufurahi mwenyewe katika Yahwe, naye atakupa matamanio ya moyo wako.
Hina Gode Ea hou amo ganodini hahawane hou hogoi helema! E da dia dogoga, hanasu hou hamoma: mu.
5 Umkabidhi njia zako Yahwe; uamini katika yeye, naye atatenda kwa niaba yako.
Dina: disu Hina Godema ima, amola Ema dafawaneyale dawa: ma! Amasea, E da di fidimu.
6 Yeye ataidhihilisha haki yako kama mchana na usafi wako kama mwangaza wa mchana.
E da dima moloidafa hou hahamonesimu. Amola Ea hamobeba: le, di da esomogoa eso diga: be agoai ba: mu.
7 Uwe kumya mbele za Yahwe na umsubiri yeye kwa uvumilivu. Usikasirike ikiwa kuna mtu anafanikiwa kwa kile afanyacho, au afanyapo njama za uovu.
Hina Gode Ea hanaiga hamoma: ne, ha: aligima! Wadela: i dunu ilia da liligi bagade gagusia, amola hahawane wadela: i ilegesu hou amo hamosea, mae da: i dione ba: ma.
8 Usikasilile na kugadhabika. Usiogope. Hii huleta matatizo tu.
Da: i dione amola ougili mae hamoma! Amoga da bidi hamosu fawane ba: mu.
9 Watendao maovu watafutiliwa mbali, bali wale wamngojao Yahwe watairithi nchi.
Be nowa dunu ilia da Hina Godema dafawaneyale dawa: sea, ilia fawane da osobo bagade ouligimu. Be wadela: i hamosu dunu da gadili sefasi dagoi ba: mu.
10 Katika muda mfupi mtu mwovu atatoweka; wewe utatazama mahali pake, wala hautamuona.
Wadela: i hamosu dunu da hedolowane alalolesi dagoi ba: mu. Dia da ili hogoi helemu, be hame ba: mu.
11 Lakini wapole watairithi nchi nao watafurahia katika mafanikio makubwa.
Bodogi dunu da osobo bagade ouligimu. Amola bagade gaguiwane amola olofoiwane esalebe ba: mu.
12 Mtu mwovu hupanga njama kinyume na mwenye haki na kumsagia meno.
Wadela: i hamosu dunu da noga: le hamosu dunu amo wadela: lesimusa: ilegesa, amola ema higale ougili ba: sa.
13 Bwana humcheka, kwa maana anaona siku yake inakuja.
Be Hina Gode da wadela: le hamosu dunu iliba: le, ousa. Bai E dawa: Ilia da hedolowane gugunufinisi dagoi ba: mu.
14 Waovu wametoa nje panga zao na wametayarisha pinde zao ili kuwaangamiza wanyonge na wahitaji, na kuwaua wenye haki.
Wadela: i hamosu dunu da hame gagui dunu amola moloidafa hamosu dunu medole legemusa: , ilia gegesu gobihei amo duga: le gadosa, amola ilia oulali disa.
15 Panga zao zitawaua wenyewe, na pinde zao zitavunjika.
Be ilia da ilila: gegesu gobihei amogawane ilila: fane legei dagoi ba: mu. Amola ilia oulali da fifili sali ba: mu.
16 Ni bora kuwa mwenye haki maskini kuliko tajiri mwenye mali nyingi.
Moloidafa dunu ea fonobahadi gagui da wadela: i hamosu dunu huluane ilia bagade gagui amo baligisa.
17 Kwa maana mikono ya watu waovu itavunjika, bali Yahwe huwasaidia watu wenye haki.
Bai Hina Gode da wadela: i hamosu dunu ilia gasa fadegale fasimu. Be E da molole hamosu dunu ili gaga: mu.
18 Yahwe huwalinda watu wasio na lawama siku hadi siku, na urithi wao utakuwa wa milele.
Hina Gode da Ea sia: nabawane hamosu dunu amo noga: le ouligisa. Amola Ea nana liligi da eso huluane ilia: fawane dialumu.
19 Hawata aibika siku mbaya zijapo. Wakati wa njaa ufikapo wao watakuwa na chakula cha kutosha.
Wadela: i eso da doaga: sea, ilia da se hame nabimu. Ha: i da doaga: sea, ilia da hame ha: gia: mu.
20 Bali waovu wataangamia. Maadui wa Yahwe watakuwa kama vile utukufu wa malisho; watamalizwa na kupotezwa katika moshi.
Be wadela: i hamosu dunu ilia da bogogia: mu. Hina Godema ha lai dunu, ilia da mosoi gilidabe defele gilisa: i dagoi ba: mu. Mobi da hedolowane geale asi. amo defele ilia da hedolowane alalolesi dagoi ba: mu.
21 Mtu mwovu hukopa lakini halipi, bali mtu mwenye haki ni mkarimu na hutoa.
Wadela: i hamosu dunu da fa: no bidi imunusa: liligi udigili laha be fa: no hame iaha. Be noga: i dunu da hahawane mae dawa: iwane iaha.
22 Wale walio barikiwa na Mungu watairithi nchi; wale aliowalaani watafutiliwa mbali.
Nowa dunu ilia da Hina Gode Ea hahawane dogolegele ba: su galea, ilia da osobo bagade nana liligi defele amo lamu. Be nowa da Ea gagabui amoga aligi galea, ilia da gadili sefasi dagoi ba: mu.
23 Hatua za mwanadamu zinaimarishwa na Yahwe, mtu ambaye njia zake zinakubalika machoni pa Mungu.
Hina Gode da dunu Ea masa: ne dawa: i logo, amoga masa: ne noga: le ouligisa. Amola E da nowa dunu amo da E nodoma: ne hamosa, amo noga: le gaga: sa.
24 Ajapojikwaa, hataanguka chini, kwa kuwa Yahwe anamshikilia kwa mkono wake.
Ilia da dafasea, gebe gudu hame dialumu. Bai Hina Gode da ili wa: legadolesimu.
25 Nilikuwa kijana na sasa ni mzee; sijawahi kumuona mtu mwenye haki ametelekezwa wala watoto wake kuombaomba mkate.
Na da waha da: i hamoi dagoi. Na da fifi misi helei. Be na da Hina Gode noga: i dunu afae fisiagai amo hamedafa ba: i. Amola noga: i dunu ea mano ha: i manu hameba: le, edegenanebe hamedafa ba: i.
26 Wakati wote yeye ni mkarimu na hukopesha, nao watoto wake hufanyika baraka.
Noga: i dunu da eso huluane udigiliwane enoma sagosa. Amola e da enoma liligi bu hi lamusa: hahawane iasisa. Amola ea mano da eno dunuma hahawane dogolegele hamosa.
27 Acha uovu na ufanye yaliyo mema; ndipo utakapokuwa salama milele.
Wadela: i hamonanu fisiagale, moloidafa hou hamoma. Amasea, digaga fifi manebe da eso huluane esalalalumu.
28 Kwa maana Yahwe hupenda haki naye hawaachi wafuasi waaminifu. Wao hutunzwa milele, lakini uzao wa waovu utafutiliwa mabli.
Bai Hina Gode da moloidafa hou amoma asigisa. Amola E da Ea dafawaneyale dawa: be dunu amo hame fisiagasa. E da mae fisili, ili gebewane gaga: lala. Be wadela: i hamosu dunu iligaga fifi manebe dunu da gadili sefasi dagoi ba: mu.
29 Wenye haki watairithi nchi na kuaa huko milele.
Moloidafa dunu ilia da osobo bagade nana liligi agoane amo lale, amola amo ganodini, eso huluane fifi lalalumu.
30 Mdomo wa mwenye haki huongea hekima na huongeza haki.
Noga: idafa dunu ea sia: da bagade dawa: su gala. Amola e da eso huluane moloidafa hou hamonana.
31 Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake; miguu yake haitelezi.
E da ea Hina Gode Ea malasu sia: ea dogo ganodini dawa: i diala. Amola e da amo malasu nabawane hamonaneawane hamedafa yolesisa.
32 Mtu mwovu humvizia mwenye haki na kutafuta kumuua.
Wadela: i hamosu dunu da noga: idafa dunu amo ba: lala. Amola e fane legemusa: logo hogosa.
33 Yahwe hatamuacha yeye kwenye mkono wa mtu mwovu wala kumlaumu atakapohukumiwa.
Be noga: i dunu da ema ha lai dunu ea gasaga wadela: lesi, amo hamedafa ba: mu. Amola fofada: su ganodini, se dabe hame lamu. Bai Hina Gode da e fisiagamu hamedafa dawa:
34 Umngoje Yahwe na uishike njia yake, naye atakuinua uimiliki nchi. Atakapo waondosha waovu wewe utaona.
Hina Gode da dima hobea misunu hou amo ouligimu, amo dafawaneyale dawa: ma, amola Ea hamoma: ne sia: i, amo nabawane hamoma. Amasea, E da dima nodoma: ne, soge dima imunu. Amola, di da wadela: i hamosu dunu gadili sefasi dagoi ba: mu.
35 Nimewaona waovu na mtu wa kutisha akienea kama mti wa kijani katika udongo wa asili.
Na da ha afaega, gasa fi wadela: i hamosu dunu dawa: i galu. E da dolo ifa gahe Lebanone sogega hahawane lelebe agoai ba: i.
36 Lakini nilipopita tana mara nyingine, hakuwepo pale. nilimtafuta, lakini sikumpata.
Be fa: no na amo baligisa ba: loba, e da amogai hame ba: i. Na da e hogoi be hame ba: i.
37 Uwachunguze watu waadilifu, na uwatambue wenye haki; kuna hatima nzuri kwa ajili ya mtu wa amani.
Dilia! Dunu noga: i amo noga: le hogole ba: ma! Ea moloidafa hou noga: le hogoma! Olofole hamosu dunu da egaga fifi ahoanebe ba: mu.
38 Mwenye dhambi wataharibiwa kabisa; hatima ya mtu mwovu ni kuondoshwa.
Be wadela: i hamosu dunu ilia da wadela: lesidafa ba: mu. Amola iligaga fi da halesali dagoi ba: mu.
39 Wokovu wa haki unatoka kwa Yahwe; yeye huwalinda wao nyakati za shida.
Hina Gode da moloidafa dunu ili gaga: sa. Bidi hamosu eso da ilima doaga: sea, E da ili gaga: sa.
40 Yahwe huwasaidia na kuwaokoa. Yeye huwaokoa dhidi ya watu waovu na kuwanusuru wao kwa sababu wao wamemkimbilia yeye kwa ajili ya usalama.
E da ili fidisa amola gaga: sa. Wadela: i hamosu dunu da ili wadela: lesisa: besa: le, E da ili gaga: sa. Bai ilia da ilila: gaga: ma: ne, Ema ahoa.

< Zaburi 37 >