< Zaburi 36 >
1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
Načelniku godbe; pesem hlapca Gospodovega, Davida. Beseda pregrehe krivičnega je v srca mojega globočini: Pred očmi njegovimi ni strahu Božjega.
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
Slepí se v svojih očéh, ko doseže krivico svojo, katero naj bi sovražil.
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Besede ust njegovih so prazne in zvijačne; rabiti jenja razum, da bi delal dobro.
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
Ničemurnost misli v postelji svoji, stopa na pot, ki ni dobra: hudega ne zameta.
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
Gospod, v nebesih je milost tvoja, zvestoba tvoja noter do gornjih oblakov.
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
Pravica tvoja kakor največje gore, sodbe tvoje valovi veliki; ljudî in živali ohranjaš, Gospod.
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
Kako dražestna je milost tvoja, Bog, ko sinovi človeški pribegajo v senco peróti tvojih.
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
Preobilno se napolnjujejo z obilostjo hiše tvoje, in iz potoka svojih slasti jih napajaš.
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
Ker pri tebi je življenja vir, v svetlobi tvoji uživamo svetlobo.
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
Pomóli milost svojo njim, ki te spoznavajo, in pravico svojo pravičnim v srci.
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
Ne zadeni me prevzetnega noga, in roka krivičnih naj me ne zapelje, da zaidem.
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
Ko padejo hudodelniki, zaženó se tako, da ne morejo vstati.