< Zaburi 36 >

1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
Prestopek zlobnega znotraj mojega srca pravi, da pred njegovimi očmi ni Božjega strahu.
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
Kajti v svojih lastnih očeh si laska, dokler se ne najde njegova krivičnost, da je vreden sovraštva.
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Besede iz njegovih ust so krivičnost in prevara. Prenehal je biti moder in delati dobro.
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
Na svoji postelji snuje vragolijo, postavlja se na pot, ki ni dobra, zla ne prezira.
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
Tvoje usmiljenje, oh Gospod, je v nebesih; in tvoja zvestoba sega do oblakov.
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
Tvoja pravičnost je podobna velikim goram, tvoje sodbe so zelo globokoumne. Oh Gospod, ti ohranjaš človeka in žival.
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
Kako odlična je tvoja ljubeča skrbnost, oh Bog! Zato človeški otroci svoje trdno upanje polagajo pod senco tvojih peruti.
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
Obilno bodo nasičeni z obiljem tvoje hiše in primoral jih boš piti iz reke svojih radosti.
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
Kajti s teboj je studenec življenja, v tvoji svetlobi bomo videli svetlobo.
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
Oh nadaljuj svoje ljubeče skrbnosti tem, ki te poznajo, in svojo pravičnost do iskrenih v srcu.
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
Naj proti meni ne pride stopalo ponosnega in naj me roka zlobnega ne odstrani.
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
Tam so padli delavci krivičnosti. Podrti so in ne bodo mogli vstati.

< Zaburi 36 >