< Zaburi 36 >
1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
伶長にうたはしめたるヱホバの僕ダビデのうた あしきものの愆はわが心のうちにかたりて その目のまへに神をおそるるの畏あることなしといふ
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
かれはおのが邪曲のあらはるることなく憎まるることなからんとて自からその目にて謟る
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
その口のことばは邪曲と虚偽となり智をこばみ善をおこなふことを息たり
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
かつその寝床にてよこしまなる事をはかり よからぬ途にたちとまりて惡をきらはず
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
ヱホバよなんぢの仁慈は天にあり なんぢの眞實は雲にまでおよぶ
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
汝のただしきは神の山のごとく なんぢの審判はおほいなる淵なり ヱホバよなんぢは人とけものとを護りたまふ
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
神よなんぢの仁慈はたふときかな 人の子はなんぢの翼の蔭にさけどころを得
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
なんぢの屋のゆたかなるによりてことごとく飽ことをえん なんぢはその歓樂のかはの水をかれらに飮しめたまはん
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
そはいのちの泉はなんぢに在り われらはなんぢの光によりて光をみん
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
ねがはくはなんぢを知るものにたえず憐憫をほどこし心なほき者にたえず正義をほどこしたまへ
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
たかぶるものの足われをふみ惡きものの今われを逐去ふをゆるし給ふなかれ
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
邪曲をおこなふ者はかしこに仆れたり かれら打伏られてまた起ことあたはざるべし