< Zaburi 36 >

1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
Jusqu'à la Fin. Psaume de David, serviteur du Seigneur. L'injuste a dit en lui-même qu'il pécherait; il n'a point devant les yeux la crainte du Seigneur.
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
Car il a agi frauduleusement en sa présence, au point que son iniquité lui a attiré sa haine.
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Les paroles de sa bouche sont fraude et iniquité; il n'a pas voulu comprendre pour faire le bien.
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
Sur sa couche, il a pensé au mal; il s'est arrêté en toute voie mauvaise; il n'a point haï la méchanceté.
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
Seigneur, ta miséricorde est au ciel, et ta vérité s'étend jusqu'aux nuages.
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
Ta justice est comme les montagnes de Dieu; tes jugements sont comme un abîme profond; Seigneur, tu sauves les hommes et les bêtes.
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
Combien tu as multiplié ta miséricorde, ô mon Dieu! à l'ombre de tes ailes, les fils des hommes espéreront.
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
Ils s'enivreront de l'abondance de ta demeure; tu les abreuveras du torrent de tes délices.
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
Car en toi est la fontaine de vie; et dans ta lumière nous verrons la lumière.
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
Étends ta miséricorde sur ceux qui te connaissent, et ta justice sur les hommes au cœur droit.
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
Que le pied de l'orgueil ne vienne point jusqu'à moi; que la main du pécheur ne m'ébranle jamais.
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
Là sont tombés les ouvriers d'iniquité; ils ont été repoussés, et ils n'ont pu se tenir debout.

< Zaburi 36 >