< Zaburi 36 >
1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
(Til sangmesteren. Af HERRENs tjener David.) Synden taler til den Gudløse inde i hans Hjerte; Gudsfrygt har han ikke for Øje;
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
thi den smigrer ham frækt og siger, at ingen skal finde hans Brøde og hade ham.
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Hans Munds Ord er Uret og Svig, han har ophørt at handle klogt og godt;
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
på sit Leje udtænker han Uret, han træder en Vej, som ikke er god; det onde afskyr han ikke.
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
HERRE, din Miskundhed rækker til Himlen, din Trofasthed når til Skyerne,
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
din Retfærd er som Guds Bjerge, dine Domme som det store Dyb; HERRE, du frelser Folk og Fæ,
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
hvor dyrebar er dog din Miskundhed, Gud! Og Menneskebørnene skjuler sig i dine Vingers Skygge;
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
de kvæges ved dit Huses Fedme, du læsker dem af din Lifligheds Strøm;
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
thi hos dig er Livets Kilde, i dit Lys skuer vi Lys!
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
Lad din Miskundhed blive over dem, der kender dig, din Retfærd over de oprigtige af Hjertet.
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
Lad Hovmods Fod ej træde mig ned, gudløses Hånd ej jage mig bort.
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
Se, Udådsmændene falder, slås ned, så de ikke kan rejse sig.