< Zaburi 34 >

1 Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
Por David; cuando fingió estar loco ante Abimelec, quien lo expulsó, y él se marchó. Bendeciré a Yahvé en todo momento. Su alabanza siempre estará en mi boca.
2 Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
Mi alma se jactará en Yahvé. Los humildes lo oirán y se alegrarán.
3 Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
Oh, engrandece a Yahvé conmigo. Exaltemos juntos su nombre.
4 Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
Busqué a Yahvé y me respondió, y me libró de todos mis temores.
5 Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
Lo miraron y quedaron radiantes. Sus rostros nunca se cubrirán de vergüenza.
6 Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
Este pobre hombre clamó, y Yahvé lo escuchó, y lo salvó de todos sus problemas.
7 Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
El ángel de Yahvé acampa alrededor de los que le temen, y los entrega.
8 Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
Oh, probad y ved que Yahvé es bueno. Dichoso el hombre que se refugia en él.
9 Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
Temed a Yahvé, vosotros sus santos, porque no hay falta con los que le temen.
10 Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
Los leones jóvenes carecen y sufren hambre, pero a los que buscan a Yahvé no les faltará nada bueno.
11 Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
Venid, niños, escuchadme. Te enseñaré el temor de Yahvé.
12 Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
Que es alguien que desea la vida, y ama muchos días, para que vea el bien?
13 Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
Guarda tu lengua del mal, y tus labios de decir mentiras.
14 Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
Apártate del mal y haz el bien. Busca la paz y persíguela.
15 Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
Los ojos de Yahvé están hacia los justos. Sus oídos escuchan su grito.
16 Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
El rostro de Yahvé está contra los que hacen el mal, para cortar su memoria de la tierra.
17 Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
Los justos claman, y Yahvé los escucha, y los libra de todos sus problemas.
18 Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
Yahvé está cerca de los que tienen el corazón roto, y salva a los que tienen el espíritu abatido.
19 Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
Muchas son las aflicciones de los justos, pero Yahvé lo libra de todos ellos.
20 Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
Protege todos sus huesos. Ninguno de ellos está roto.
21 Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
El mal matará a los malvados. Los que odian a los justos serán condenados.
22 Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.
Yahvé redimeel alma de sus siervos. Ninguno de los que se refugian en él será condenado.

< Zaburi 34 >